Ushauri wa bure kwa Rich Mavoko

Ni kweli Mavoko ana uwezo mzuri wa kutunga mashairi mazuri, ushahidi ni wimbo wake wa Ibaki Stori - Niwimbo wenye mashairi mengi sana.

- Lakini nyimbo za aina hiyo haziuzi ulimwenguni licha ya kupendwa hapa Tanzania, Mavoko tayari ana jina hapa bongo na anachokiangalia ni soko kubwa zaidi na kwa sababu huko hawaelewi unaimba nini - huwezi kuimba mashairi kibao kama kwenye Ibaki stori .Ndio maana unaona wameimba wenye mashairi mafupi mafupi tena ni wimbo wa burudani tu "Club Banger "

- Hata Diamond bado ana uwezo huo wa kutunga mashairi kama ya zamani ,ushaidi sikiliza matangazo aliyotengeneza yanavyokiki.

- Lakini kwasababu za kibiashara inatakiwa ubadilike badilike ili uuze maana muziki ni biashara huwezi kukommaa na kitu kwa sifa tu wakati huuzi.
Kaka umemaliza kila kitu
 
Kwa huu wimbo wa kokoro muje tena kuandika Uzi mwingine wa kuchukua tuzo hizo zingine amepiga sana wacha afanye business tukutane kwenye mafanikio
 
Usifikiri kila aliye apa analipwa ni ushabiki tu next tym think twice kabla hujaropoka
Usiisaliti nafsi yako kwa unafiki unaoufanya hapa,wewe unatambua fika kwamba hapa unatekeleza majukumu yako ya kazi na unapata ujira kwa hili unalolifanya.
 
Richard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.

Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
We humpendi Mavoko acha kutudanganya
 
tatizo team kushindwa mnalazimisha mavoko
awe kama king kimba!
mziki bila mafanikio ni sawa na bure!!
mtueni mavoko, mwenye shida na mziki wake atausikiliza asietaka aache!!!!!
msipangie watu cha kuimba
 
Kweli mavoco wa baby you marry me ni tofauti na kokoro naona kuingia wasafi kabweteka anahitaji kujituliza nakuja na vtu vzuri zaidi . hyo kokoro haieleweki
Watu kazi kuponda tu nyimbo ambàyo kila mtaa tz nzima inapigw hii nyimbo
 
Richard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.

Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
Watz kwa wivu mtoto wa kiume tabia za dada yako nyimbo kila kona.inapigw we unasema kazingua akati mavoko alishapotea hii nyimbo ni nzur sana kwanzia melody mpaka mashair creative sana zigo lakuvunja chaga
 
Ni kweli Mavoko ana uwezo mzuri wa kutunga mashairi mazuri, ushahidi ni wimbo wake wa Ibaki Stori - Niwimbo wenye mashairi mengi sana.

- Lakini nyimbo za aina hiyo haziuzi ulimwenguni licha ya kupendwa hapa Tanzania, Mavoko tayari ana jina hapa bongo na anachokiangalia ni soko kubwa zaidi na kwa sababu huko hawaelewi unaimba nini - huwezi kuimba mashairi kibao kama kwenye Ibaki stori .Ndio maana unaona wameimba wenye mashairi mafupi mafupi tena ni wimbo wa burudani tu "Club Banger "

- Hata Diamond bado ana uwezo huo wa kutunga mashairi kama ya zamani ,ushaidi sikiliza matangazo aliyotengeneza yanavyokiki.

- Lakini kwasababu za kibiashara inatakiwa ubadilike badilike ili uuze maana muziki ni biashara huwezi kukommaa na kitu kwa sifa tu wakati huuzi.
Kuna interview alifanya na EATV aliongelea hilo, akasema kama target yako ni Bongo basi imba ya mashairi ila kama unataka nyimbo iuzike nje ya Bongo then inabd iwe simple
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom