masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,906
- 13,210
- Thread starter
- #41
Kweli mkuu, inaweza kuwa kumbukumbu si makini sana ila ni kweli.Masopakyindi......kumbukumbu zako ni sahihi lakini zinapandana.....Nijuavyo wakati wa MMASI hatukuwahi kuwa na ndege nyingi hivyo.Bw Yule ie MMASI unakumbukua sakata lake na George Hallack kuhusu kile dege lililogeuka mzinga wa nyuki pale KIA
George Hallack aliwaingiza mjini hao jamaa wa ATC, lile lidege lilikuwa uozo, halikuruka hata safari moja.
Ufiasdi ulianza zamani sana!