tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,055
- 16,509
Sitaki kuusemea mchakato ulivyoendeshwa sababu hata sijui hizi kazi zilitangazwa lini. Ila nachotaka kuwashauri ni muwe wavumilivu. TRA huwa inachukua watu kwa batches.
So hii ni batch ya kwanza na inawezekana kukawa na batches kama mbili au tatu, hivyo msikate Tamaa. Kuweni wavumilivu kidogo.
Ni hayo tu
NB: TRA kimaslahi ni pa kawaida sana, hata bank teller wa CRDB bank kamuacha mbali sana officer wa TRA, jina lisiwatishe.
So hii ni batch ya kwanza na inawezekana kukawa na batches kama mbili au tatu, hivyo msikate Tamaa. Kuweni wavumilivu kidogo.
Ni hayo tu
NB: TRA kimaslahi ni pa kawaida sana, hata bank teller wa CRDB bank kamuacha mbali sana officer wa TRA, jina lisiwatishe.