Kama mgombea angekuwa ni Membe, tungependekeza mapambano yaendelee kwa Lowassa kuvuka upande wa pili, nasi tumuingize ikulu!, lakini huyu aliyepitishwa, John Pombe Magufuli, pia ni jembe la ukweli, hivyo Lowassa hata akiamua ku cross, ataishia kupata kipigo kingine, yaani double tragedy !.
Pasco
Nimeipenda hii Mkuu Pasco, Double Tragedy!
Last edited by a moderator: