Mimi sijazungumzia Magazeti; nimezungumzia taarifa za Election Observers walioshiriki katika mchakato wa uchaguzi.
Magazeti yana hulka ya kuandika vichwa vya habari na taarifa zitakazouzika.
Binafsi, sijazungumza kuwa mimi ni mshabiki wa Chama Tawala, bali naongea kama MZALENDO wa taifa la Tanzania. Gross Conclussion kuwa Uchaguzi wetu ulikuwa na Uchakachuaji sio suala muafaka.
NEC ishajibu hoja.
Kama ishu ni uchelewaji wa majibu; most of results zimetolewa within the TIMEFRAME agreed.
Ni jambo lililo dhahiri kuwa Tuhuma za UCHAKACHUAJI zilianza hata kabla ya Uchaguzi kama selling point ya CAMPAIGN huku ikiwa ni uchochezi.
tumia akili ya kuiga hata ya kuzaliwa nayo ama kusoma shuleni huna wewe Makame umeonesha
udhaifu mkubwa sana kwenye hiyo posti yakom......jitambue kwanza
Hali ya uchakachuaji Tz tunaijua sisi watanzania si hao observers, hawana huruma na sisi, wana lao jambo. Akili yako isiwe tegemezi. Tulia vizuri utajua ukweli.
Sielewi hizi tuhuma dhidi ya Mheshimiwa Kikwete unazitoa wapi?
Election Observers kutoka taasisi mbalimbali za kimataifa wameshiriki na kusema kuwa Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa wa Huru na Haki, na pia kama kuna tuhuma zozote za aina hiyo; kuna utaratibu wa kuziwasilisha ili kubaini kama haki imetendekea au la.
Akashube ndugu yangu, nakusihi usiwe MCHOCHEZI
tumia akili ya kuiga hata ya kuzaliwa nayo ama kusoma shuleni huna wewe Makame umeonesha
udhaifu mkubwa sana kwenye hiyo posti yakom......jitambue kwanza
ushauri unaompa kikwete ni wa kweli and if he is a smart guy he should take up your advice seriously- baada ya kiwete kutangazwa mshindi niliwahi kuwaeleza wanajamii kwamba ushindi wake ni misiba mingi na vilio vingi vya watanzania kama anawapenda watanzania kama anavyojipenda yeye. hapa kipimo chake kipo katika uamuzi wa jinsi atavyo ongoza nchi wakati akijua fika hana watu wa kuwaongoza.
Kule CHADEMA every one is a suspect. Inategemea matendo yako na ndio maana Zitto alipotaka kugombea Uenyekiti (alikuwa-suspect) aliposhindwa kujieleza akaambiwa "njia nyeupe". Kwa hiyo usiwe na wasi wasi kazi anayofanya Mabere pale Chadema ni ushauri wa kisheria, haijarishi wewe ni UWT (sorry UWC) au vipi. Kule NCCR alikuwa kiongozi akakosea kumpisha Mrema na chama kikaanguka.
Tuambie utaratibu wa kuwasilisha tuhuma ukoje Tanzania?
Wamarekani wanajuta...... na mfano ukiwa tamko la Collin Powell mwaka 2005 ....wanajuta kwa kitendo cha majeshi yao na yale ya washirika wao kuvamia Irak.
Msemo unaotumiwa ndani ya shirika la ujasusi la marekani CIA na Uingereza MI6 pamoja na lile la Canada CSIS ni 'Sadam has killed many in death than when he was alive'.
Kama historia imetufundisha lolote haki huua wengi zaidi inapokuwa imekufa kuliko inapokuwa hai.
Kikwete jaribu kukaa chini na wagombea wenzako muelewane....jifunze mlichofanya Zanzibar ambacho kimewawezesha kuiba bila kupingwa.
Wagombea wa Upinzani na wapiga kura wao watasababisha uharibifu mkubwa usiotibika kwenye kushindwa kwao kuliko hata kama mngeacha haki ichukue mkondo wake.
Kikwete mustakabali wa Taifa hili uko mikononi mwako..Kaeni viongozi wote mtusaidie wananchi.....KUMBUKA...HAKUNA ALIYESHINDA AU ALIYESHINDWA UCHAGUZI HUU....UNAELEWA FIKA KWA NINI MSEMO HUU ULITUMIWA NA WAGOMBEA WAWILI WA ZANZIBAR.....SHAURI YAKO!!!!!!!!!!!!
I don't think if he can work on this,he has an atrophied brain!!!
Angalia anayeandika; na alietoa ushauri, na alieshauriwa.
Hivi kwa hali ya kawaida tu ya KUTAFAKARI, bila ya USHABIKI; yupo hapo anayemuingia Jakaya Mrisho Kikwete
1. Rais Wa Jamhuri
2. Cabinet minister Mzoefu
3. Mwenyekiti wa CHAMA
Dk Slaa Hajawahi kukamata hata mojawapo ya Sensitive Posts alizokamata yeye.
Halafu Somebody anayejiita CROOKED [Kweli yuko crooked] anamuita atrophied brain; LOOK who has that BRAIN?
Yaap hata Iddi Amin amewahi kukamata nyadhifa kubwa mno kuliko wagombea wote wa kiti cha urais ikiwa ni pamoja na JK. Kumbuka alikuwa Army General na baadaye Field Marshal na kisha Rais. Tofauti yake na JK ni kwamba yeye hakuungwa mkono na mataifa ya magharibi. Kwa hiyo vitendo vyake havikubatizwa.
Mtindo wa vyeo vya Idd Amin hauna tofauti na Jakaya Kikwete, Mfano udokta, urais, e.t.c
LET US COMPARE DR SLAA AND PRESIDENT KIKWETE
Socialy, Slaa amechakachua ndoa yake na Ndoa ya Watu wengine; akapora Mke wa watu. Kikwete Hana Uchafu huo.
Kikwete anaweza kufanya analysis na kuweza kubaini kama anachomekewa, angalia mfano wa ile issue ya AMBULANCE ya LONGIDO; slaa anakurupuka; angalia ILE BARUA.
Kikwete ana maamuzi na anajiamini; Slaa hana hata kimoja NDIO MAANA KIKWETE ALIGOMBEA URAIS NDANI YA CCM 1995, akashindwa na MKAPA; na akaheshimu Demokrasia. Akarudi tena 2005; akashinda. 2010, akashinda TENA. On the contrary, Dr Slaa alifanya kubembelezwa na wanachadema akagombee. Alishawishiwa, URAIS UNAHITAJI MTU KUJUA QUALITIES ZAKO; ukimuona mtu anasitasita; JUA HANA QUALITIES HIZO.
Ndio maana watu MUHIMU WANAMUHESHIMU KIKWETE.
BLAIR, BROWN, CAMERON, BUSH, OBAMA, CLINTON, MANDELA ni among INternational figures zinazomuheshimu
Usiongee tu