mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 567
Nyie mnabishana na magammba wa kazi gani jamani; hao wameletwa humu na CCM kuenea propaganda, hata majina yao yanajieleza! Wanapigania matumbo yao. Kusema kweli Suala alilozungumzia mdau hapo juu ni kweli hasaa, tatizo chama hakina fedha za kutosha; kazi iliyopo ni kwetu ss wananchi kusaidia kujenga chama kwa njia ya kujitolea;
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zao
Ofisi ya nini wakati wako mitaani wanandamana saa zote? Hiki chama ni cha mfukoni tu. Halafu ndio wapewe nchi.
Ruzuku yote wanagawana kwa kulipana mishahara mikubwa na kununua fuso zilizotumika za mbowe kwa milioni mia tano!
malware
Sasa wakiondoka wachaga atabaki nani?
Mliweza kumnunulia nyumba Slaa lakini ofisi inawashinda, mliweza kununua mikangafu ya mbowe lakini kodi ya vyumba viwili dodoma inawashinda. Leo hii mnataka mpewe nchi,si ndio hapo mtamuona Mbowe anapewa Chumba benki kuu.
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zao
Kabla ya ushauri wako kwa chama kaka ungetafiti kwanza histoya ya kuanzishwa kwa Chama na hata sifa za wafadhili wa CHAMA. Chama kilianzishwa na familia, kikavuta wachache toka nje ili kupata umaarufu ila malengo yakiwa yaleyale bila ya waliovutwa kujielewa, Wafadhili wa chama unawajua? unajua sifa zao? hakika ofisi za CHADEMA siku zote lazima ziwe chache na mafichoni ili historia ichukue mkondo wakeSalaam wanaJF!
Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.
Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.
NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.
Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
kama MBOWE alikataa shangingi kama kiongozi wa upinzani bungeni ni dhahiri kwamba tatizo siyo fedha, bali matumizi. weka vipesa vyako unavyotaka kuchangia kwenye SACCOS iliyoko karibu nawe ili baadaye mkopo uongezeke ya CHADEMA na MBOYE wanayajua wenyewe. Samahani naomba kujua hivi hata gari la CHAMA nalo alilikataa au lenyewe halitumii pesa za walipa kodi?Salaam wanaJF!
Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli.
Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa.
Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ.
Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa.
Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili.
NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive.
Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia.
Nyumba anayoishi SLAA na makao makuu ya chama KINONDNI kipi kina hadhi?.Kabla ya ushauri wako kwa chama kaka ungetafiti kwanza histoya ya kuanzishwa kwa Chama na hata sifa za wafadhili wa CHAMA. Chama kilianzishwa na familia, kikavuta wachache toka nje ili kupata umaarufu ila malengo yakiwa yaleyale bila ya waliovutwa kujielewa, Wafadhili wa chama unawajua? unajua sifa zao? hakika ofisi za CHADEMA siku zote lazima ziwe chache na mafichoni ili historia ichukue mkondo wake
CCM ina hela, na salima ni 1st lady, CDM ni njaa halafu Josephine ni kicheche, lazima ujue kutofautisha
CDM ingekuwa strategic wasingefanya mambo wanayofanya sana! Wangejikita kwenye kukuza chama..including kuimprove office zao
ni ushauri mzuri sana ni swala la vipambele kumba chama kimetoka kwenye kampeni mwishoni mwa mwaka jana, tegemea chama kuwa na madeni na katika ruzuku nijuavyo mimi huwa wanatoa kulingana jimbo lilivyo patakura lakini kama wenyeji wasehemu husika tukiongozwa la viongozi wetu tukiamua tunaweza kuharakisha badala ya kusubili makao makuu au pesa ya gawio..
Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali.
Rejao Inaomekana Mwigullu Nchemba alishakutembelea nyumbani kwako shauri zako wewe unakalia key board tu. Any way ndiyo makubaliana mliyokubaliana, akitoka Igunga atakujaza minoti.Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana.
Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija!
Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa