Nawasifu sana CDM kwa kutoa elimu ya uraiya kupitia maandamano ya kanda ya ziwa.Ila kikubwa ninachowashauri wasisahau kugawa kadi za uanachama wa chadema.Huu ni wakati wa kupata wanachama wengi sana.Ni muhimu sana kuanza kuongeza base ya uanachama na kua nao wa kutosha.Wakifanya hivyo itasaidia sana kwenye chaguzi zijazo pia.Kingine wangeenda na Tshirts,kanga,kofia au magwanda ya chadema,wengi wanayahitaji.Hata kama hawana hela waende nayo wawauzie kwa bei nafuu.