umiliki wa gari ukiwa haujui chochote juu ya gari yako ni tatizo kubwa sana,wengi hawana elimu yoyote juu ya magari ni mwendo wa kuweka gear na kuondoka.
ningependa kutoa nafasi hii kwa yoyote mwenye swali kuhusiana na magari alitoe hapa ili liweze kujibiwa hapa hapa kwa maana wapo wenye ufahamu zaid kwenye technology ya magari utawaza kupata ABC za magari hii itakusaidia ata unapopata tatizo la gari yako huwez kupata taharuki
Karibuni tupeane Elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ningependa kutoa nafasi hii kwa yoyote mwenye swali kuhusiana na magari alitoe hapa ili liweze kujibiwa hapa hapa kwa maana wapo wenye ufahamu zaid kwenye technology ya magari utawaza kupata ABC za magari hii itakusaidia ata unapopata tatizo la gari yako huwez kupata taharuki
Karibuni tupeane Elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app