Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Kwa kuwa wote ( Rose Kamili na A. Mahimbo) ni wahanga wa vitendo vya Dr. Wilbroad Slaa, na kwakuwa hakuna uwezekano kwa Dr. Slaa kumwacha mke wake wa sasa ili kumuoa Rose kamili nashauri A. Mahimbo apunguze machungu kwa kumuoa Rose Kamili. Kwa mawazo yangu naona wawili hawa wanaweza kudumu katika ndoa kutokana na kuwa na tabia zinazofanana. Kwanza wanakubali kutumika bila kutafakari aina ya mashinikizo pamoja na msukumo uliopo nyuma yao, pili ni watu wenye tamaa ya fedha ......wako radhi kufanya lolote bila tafakuri pale tu wanapoahidiwa malipo ya kifedha.