Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,806
- 7,379
Sio ajabu mtu aliokulia mara kuweka R kwenye L. Wakenya hawawezi kusema AJE wanasema AKUJE. Wazungu wengi wanaongea kiswahili ila hawawezi kutaja vizuri maneni mengi tu.Ana DIPROMA
Wewe na wenzio kila siku tunawarekebisha, kwenye simu hakuna mwandiko kuna maandishi.
Wanaojua kuandika hawana cha maana, wanasibiri mama apunguze asilimia 1% na sita ili wapumue.mkuu sasa ndio ujue hela haichagui pa kuingia
Najua kingereza maana nimesoma Kenya 🤣Ushauli Diproma cm naitaji
Wewe na wenzio kila siku tunawarekebisha, kwenye simu hakuna mwandiko kuna maandishi.
Unakosoa kwa kukosea, shule za kata zimewaharibu sana, halafu mnacheka watu, nyie wenyewe mnakosea! Msijifanye wajuaji.
Mwandiko huumbwa kwa penseli na kalamu ya wino au electronic pen.
Sema uandishi sio mwandiko.
Kasoro mimi tu aiseeJf kila mtu ni tajiri kila mtu amesoma kila mtu anaishi mjini kila mtu ana ndinga ya maana hahaha jf bana!
Uko vizuri ndo maana nakukubal...
Wewe mwenyewe Kuna sehemu umechapia ,hebu Soma vizuriMtu msomi anaandika diproma badala ya diplona huyu ni darasa la saba B
Pole na hongeraHi wanaJF,
Moja kwa moja niende kwenye mada ni hivi baba yangu mzazi alinipigia simu, baada ya kujuliana hali akanieleza dhumuni la kunipigia simu.
Akanieleza anatambua kuwa nimejiandaa kuishi maisha yangu Dar, hasa akizingatia nimejenga nyumba mbili Dar na na miradi yangu midogo ya kiuchumi iko dar na nyumbani mkoani mara sina japo uwanja. Akasema baada ya kunisomesha na mimi kuamua kuishia diproma tu ,yeye alinielewa hasa nilipomwambia naitaji kuwa mfanya biashara japo itanichukua muda kuwa na uchumi mkubwa.
Aliknikubalia bila shaka akizingatia yeye ni mtumishi na hadi anastaafu akiwa mtumishi mwaminifu ameishia kupata nyumba za kiswahili mbili tu nikisema za Kiswahili mnanielewa ni kama za Tandale.
Ndipo akanieleza ni kweli upo Dar ila ananishauli nitumie fulsa za nyumbani MARA KUFANYA BIASHARA. Nikauuliza una maanisha nini? Akanieleza moja ya ndoto zake ni kuona mimi kijana wake nashiriki mojawapo wa uchumi ulioko mkoani humo.
Akaniambia wewe unaelimu ya kukuwezesha kuingia popote ukizingatia najua kimombo, kwani nimesomea Kenya.
Umezaliwa mkoa wa asali na dhahabu.
Mara kuna migodi mingi na haoni kwa nini sina channel kwenye biashara ya madini japokuwa naifahamu vema kwani nilipokuwa nikisoma ndio ilikuwa ikinisomesha. Siku zote alinipa karo nikainunulia madini na kwenda kuuza nairobi. Ndio napata fedha ilioniwezesha kuishi huko na kulipia chuo.
Unaiachaje nchi ya dhahabu na kuenda kuhangaika huko? Angependa kabla sijafa aone nikishiriki uchumi huo.
Mara kuna utalii. Kwanini huna kempsite, vitaru au gari za kusafirisha watalii?
Mara kuna ziwa mbona sina hata ndoano?
Japo nina ng'ombe wa kunenepesha nje ya dar mbona siuzi ngozi nje ya nchi?. naishia kuuza mifugo tu baada ya kunenepesha?.
Unakwama wapi kijana wangu niingilie?
Anafahamu kuwa nina cash bank sio chini ya mia hamsini milioni nje ya vitega uchumi nilivyonavyo. Nimeamua nikueleze haya nikiwa hai imekuwa ni ndoto yake siku nyingi. wanaJF nishaulini nyie mungemujibu vipi? binafsi nilimwambia ninatafakari.
Akasisitizaunawezaje kiondoka katika vijiji vyenye madini na ukajisahaulisha kama hukuzaliwa kwenye ardhi ya madini?
Wanacheza na smart keyboard.Wewe mwenyewe Kuna sehemu umechapia ,hebu Soma vizuri
Hilo neno! Mzee anaona mbali. Maono ya mbali tena yenye kilo. Kudos Mzee, kweli ya kale ni dhahabu. Salute kwa mzeeHi wanaJF,
Moja kwa moja niende kwenye mada ni hivi baba yangu mzazi alinipigia simu, baada ya kujuliana hali akanieleza dhumuni la kunipigia simu.
Akanieleza anatambua kuwa nimejiandaa kuishi maisha yangu Dar, hasa akizingatia nimejenga nyumba mbili Dar na na miradi yangu midogo ya kiuchumi iko dar na nyumbani mkoani mara sina japo uwanja. Akasema baada ya kunisomesha na mimi kuamua kuishia diproma tu ,yeye alinielewa hasa nilipomwambia naitaji kuwa mfanya biashara japo itanichukua muda kuwa na uchumi mkubwa.
Aliknikubalia bila shaka akizingatia yeye ni mtumishi na hadi anastaafu akiwa mtumishi mwaminifu ameishia kupata nyumba za kiswahili mbili tu nikisema za Kiswahili mnanielewa ni kama za Tandale.
Ndipo akanieleza ni kweli upo Dar ila ananishauli nitumie fulsa za nyumbani MARA KUFANYA BIASHARA. Nikauuliza una maanisha nini? Akanieleza moja ya ndoto zake ni kuona mimi kijana wake nashiriki mojawapo wa uchumi ulioko mkoani humo.
Akaniambia wewe unaelimu ya kukuwezesha kuingia popote ukizingatia najua kimombo, kwani nimesomea Kenya.
Umezaliwa mkoa wa asali na dhahabu.
Mara kuna migodi mingi na haoni kwa nini sina channel kwenye biashara ya madini japokuwa naifahamu vema kwani nilipokuwa nikisoma ndio ilikuwa ikinisomesha. Siku zote alinipa karo nikainunulia madini na kwenda kuuza nairobi. Ndio napata fedha ilioniwezesha kuishi huko na kulipia chuo.
Unaiachaje nchi ya dhahabu na kuenda kuhangaika huko? Angependa kabla sijafa aone nikishiriki uchumi huo.
Mara kuna utalii. Kwanini huna kempsite, vitaru au gari za kusafirisha watalii?
Mara kuna ziwa mbona sina hata ndoano?
Japo nina ng'ombe wa kunenepesha nje ya dar mbona siuzi ngozi nje ya nchi?. naishia kuuza mifugo tu baada ya kunenepesha?.
Unakwama wapi kijana wangu niingilie?
Anafahamu kuwa nina cash bank sio chini ya mia hamsini milioni nje ya vitega uchumi nilivyonavyo. Nimeamua nikueleze haya nikiwa hai imekuwa ni ndoto yake siku nyingi. wanaJF nishaulini nyie mungemujibu vipi? binafsi nilimwambia ninatafakari.
Akasisitizaunawezaje kiondoka katika vijiji vyenye madini na ukajisahaulisha kama hukuzaliwa kwenye ardhi ya madini?
Kwani mtu kua na pesa kwako unaathirika na nini? Achana na mawazo ya kimaskini mkuuJf kila mtu ni tajiri kila mtu amesoma kila mtu anaishi mjini kila mtu ana ndinga ya maana hahaha jf bana!
Sijamsoma kitambo huyu tajiri au alirudi kwao ughaibuni.Kweli kabisa mfano taycoon kidukulilo
Si tofautisha kuandika na matamshi?Sio ajabu mtu aliokulia mara kuweka R kwenye L. Wakenya hawawezi kusema AJE wanasema AKUJE. Wazungu wengi wanaongea kiswahili ila hawawezi kutaja vizuri maneni mengi tu.
Nyie mmeelimika kweli ?
Du mzee wako yuko very broad minded, na yuko right.Hi wanaJF,
Moja kwa moja niende kwenye mada ni hivi baba yangu mzazi alinipigia simu, baada ya kujuliana hali akanieleza dhumuni la kunipigia simu.
Akanieleza anatambua kuwa nimejiandaa kuishi maisha yangu Dar, hasa akizingatia nimejenga nyumba mbili Dar na na miradi yangu midogo ya kiuchumi iko dar na nyumbani mkoani mara sina japo uwanja. Akasema baada ya kunisomesha na mimi kuamua kuishia diproma tu ,yeye alinielewa hasa nilipomwambia naitaji kuwa mfanya biashara japo itanichukua muda kuwa na uchumi mkubwa.
Aliknikubalia bila shaka akizingatia yeye ni mtumishi na hadi anastaafu akiwa mtumishi mwaminifu ameishia kupata nyumba za kiswahili mbili tu nikisema za Kiswahili mnanielewa ni kama za Tandale.
Ndipo akanieleza ni kweli upo Dar ila ananishauli nitumie fulsa za nyumbani MARA KUFANYA BIASHARA. Nikauuliza una maanisha nini? Akanieleza moja ya ndoto zake ni kuona mimi kijana wake nashiriki mojawapo wa uchumi ulioko mkoani humo.
Akaniambia wewe unaelimu ya kukuwezesha kuingia popote ukizingatia najua kimombo, kwani nimesomea Kenya.
Umezaliwa mkoa wa asali na dhahabu.
Mara kuna migodi mingi na haoni kwa nini sina channel kwenye biashara ya madini japokuwa naifahamu vema kwani nilipokuwa nikisoma ndio ilikuwa ikinisomesha. Siku zote alinipa karo nikainunulia madini na kwenda kuuza nairobi. Ndio napata fedha ilioniwezesha kuishi huko na kulipia chuo.
Unaiachaje nchi ya dhahabu na kuenda kuhangaika huko? Angependa kabla sijafa aone nikishiriki uchumi huo.
Mara kuna utalii. Kwanini huna kempsite, vitaru au gari za kusafirisha watalii?
Mara kuna ziwa mbona sina hata ndoano?
Japo nina ng'ombe wa kunenepesha nje ya dar mbona siuzi ngozi nje ya nchi?. naishia kuuza mifugo tu baada ya kunenepesha?.
Unakwama wapi kijana wangu niingilie?
Anafahamu kuwa nina cash bank sio chini ya mia hamsini milioni nje ya vitega uchumi nilivyonavyo. Nimeamua nikueleze haya nikiwa hai imekuwa ni ndoto yake siku nyingi. wanaJF nishaulini nyie mungemujibu vipi? binafsi nilimwambia ninatafakari.
Akasisitizaunawezaje kiondoka katika vijiji vyenye madini na ukajisahaulisha kama hukuzaliwa kwenye ardhi ya madini?