siraha za kihami/kujilinda zipo nyingi isipokuwa inategemea na uhitaji wako.wengine wanapenda kuwa na siraha za kujilinda na kuwindia pia.wengine wanapenda siraha ndogo za kujilinda tu(pistol).sasa sijuwi wewe unataka ya namna gani.ila kwa ufupi tu ni kwamba zile siraha za kuwindia ni zile zenye mtutu wa kati(medium calibre) na kama ni siraha za kujilinda ni pistol zenye mtutu mdogo(small calibre).sasa kama unataka pistol zipo nyingi tu,ambazo nazo zinatofautiana ukubwa kulingana na uwezo wa pistol yenyewe.mfano zipo za ukubwa wa mtutu wa 0.35mm hadi 9mm.hizi za 9mm zina uwezo wa kupiga umbali mrefu hadi mita 200(centre point).umbali wa kupiga inategemea na ukubwa wa calibre ya pistol hiyo.ila kwa ushauri zaidi tembelea maduka yanayouza siraha(Tanganyika arms na pale jeshini upanga)ukienda ktk maduka hayo utapata ushauri wa bure na mzuri na pia utaziona na siraha zenyewe physically na hata ukitaka special order watakuagizia tu ili mradi ufuate taratibu zote za nchi za kumiliki siraha ila revolver hairuhusiwi kwa hapa TZ.ni kwa matumizi ya jeshi tu pamoja na silencer equipmenent.