Hapana. Amesema ukweli. Wapo vijana huku maofisini ukiangalia utendaji wao wa kazi mhhh; ukiambiwa huyo ni graduate utaruka futi mia. Yani fikiria e.g. mtu anapewa fedha azitumie halafu baadaye akizimaliza atolee Taarifa ya matumizi jinsi alivyozitumia ili apewe zingine-anashindwa. Badala yake anaanza na vijimaneno Oh, wananitafuta, wananifatilia-fatilia utadhani nimekula chao n.k. n.k.Sema unataka wenye degree mbaki wachache wala sio hayo uliyoyasema
Acha kuwa na akili mgando mkuuuuu, mkufunzi hakupiki wewe ndo unatakiwa ujipike mwenyewe acha kulalamika ovyo ovyoMnamaliza vyuo hakuna mnalojua, huko maofisini wanalalamika uwezo mdogo, maana yake ni kuwa hamkupikwa vizuri.
Vibaki vyuo kadhaa kwa ajili ya degree.
Mawazo ya zama za kale za maweNashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Kwa kweliMawazo ya zama za kale za mawe
Enzi za authralopithecus africanus kabisa
Kabla hata ya kandi na mgeu
Wahanga wanaelewa
Hivi kumbe Tanzania kuna vyuo competence?Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
UDSM wana development gani kama sio upumbavu tu na ma lecturer waliojaa chuki na wengi wao. Ni mashogaHizi private universities nyingi zikishapata usajili hazifanyi development yoyote hasa kwenye infrastructure na kuajiri qualified lecturers inakua changamoto sana. Unakuta chuo kiliposajiliwa kilikua kinadahili watu 2,000 lakini baada ya miaka 10 kinadahili watu 12,000 katika miundombinu ileile na wakufunzi walewale.
Awamu ya mkapa vyuo viliongezeka sana ili kukidhi matakwa ya wakati tuliopo. Vingi havikua na sifa zote lakini kwa umasikini wetu ni bora tuanze mdogomdogo na improvements zitaendelea kufanyika.
Ila TCU ni kama wamelala hivi hawavifuatilii hivi vyuo ipasavyo. Ingekua vizuri kama wangewapa malengo kulingana na muda. Haiwezekani chuo kina miaka 15 ila hawana miundombinu ya kueleweka.
Kuvifuta sio suluhisho maana kwa dunia tuliyopo tutachekwa. Kenya tunawazidi population ila namba ya graduates wanaozalishwa kwa mwaka wametuzidi. Kikubwa ni TCU kufanya majukumu yake ili Elimu iendelee kuwa bora.
Hivi vyuo vya kati ndio kumeoza kabisa
Hawa watoto wa yudizimu aka Jalala university ni shida sana, so Stupid and delusionalUDSM wana development gani kama sio upumbavu tu na ma lecturer waliojaa chuki na wengi wao. Ni mashoga
Wakiongozwa na shoga lao cocasticHawa watoto wa yudizimu aka Jalala university ni shida sana, so Stupid and delusional
kitu nina uhakika nacho ni ratio ya lecturers na students iko vizuri kulinganisha na vyuo vingi. Wana facilities za muhimu kusomea fani husika, inaweza isiwe kwa level kubwa lakini kwa nchi yetu wako vizuri.UDSM wana development gani kama sio upumbavu tu na ma lecturer waliojaa chuki na wengi wao. Ni mashoga
Mbona mdogo wangu wa mzumbe nilikuwa namuona ni kipanga specialNashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Wewe umesoma Ardhi university?Ardhi yetu jmn, hoja yako n nzr maana kuna vyuo kwa kweli ni shida ila sio kua vibaki vyuo vitano .
Mzumbe haifai kua chuo kikuu. Labda iwe kambi ya wakimbiziMzumbe inazidiwa na Tumaini na Saut?
Kwani kukopeshana inahitaji uwe na digrii?Moshi Co-operative University ni university pekee kubwa na inayoeleweka Africa nzima!
Sasa usijisahaulishe- Masomo na Ushirika ni muhimu ndo maana uko kwenye vikundi na jamaa wenzio mnaweka na kukopeshana pesa!
Kwani kukopeshana inahitaji uwe na digrii?
TCU, futilieni mbali MoCU, kimekaa kijalala kijalala tu