Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #81
Nawaona nawaonaaKwa sisi ma Ras daily kwetu ni valentine. Dini yetu imebase kwenye amani na upendo
Nawaona nawaonaaKwa sisi ma Ras daily kwetu ni valentine. Dini yetu imebase kwenye amani na upendo
Sinaga beki 3 mbonaHaya sawa basi nije kumtembelea beki3 wako
Hihihihi huyo ni Me - dumeMkuu umeolewa?
Nawaona nawaonaaaWahusika wamekusikia
Sio dume huyo ni mrembo flan iviHihihihi huyo ni Me - dume
Kumbe kaolewa muhahahaha
AhahahahahSio dume huyo ni mrembo flan ivi
Sawa maana sisi wengine hizi sikukuu hazituhusu sana kutokana na huku tulikoNawaona nawaonaaa
Mmmh aiseee sawaSinaga beki 3 mbona
Wafanyakazi wa ndani wa kampuni wanaondoka saa 10 jioni siwajui
Uko porini au jeshini kambiniSawa maana sisi wengine hizi sikukuu hazituhusu sana kutokana na huku tuliko
Niko poriniUko porini au jeshini kambini
Wasalimie wanyamaNiko porini
Hahahaha lkn wewe hautaki tujifunze kwako sio? !Njooni jamani, mim napata somo kupitia kwenu....
Salamu zimefika zote kama zilivyoWasalimie wanyama
Hiyoo "three sum" yako imenifanya niwe mdogo ghafla. Nimejiona sina cha kuweka hadharani.Hahahaha lkn wewe hautaki tujifunze kwako sio? !
Vbaya ivyooo Mungu anakuoooonaaa

Uko pori gain? !Salamu zimefika zote kama zilivyo
Ungekuwa hujafichwa mjini ninge kukaribisha uje kutalii