Bila kupepesa macho, chukua!Habarini wakuu!
Vipi ubora wa gari aina ya Allex/Runx ukilinganisha kwa Raum (Trip tu za town na route ndefu mara moja moja).
Shukrani mkuu,Bila kupepesa macho, chukua!
Ila utafaidi zaidi na kutumia kwa uhakika ikiwa utaagiza mwenyewe na kuianzia mwenyewe
Za hapa hapa nyingi zinakua na mafua sana
Wengi tumenunua magari kwa kuzingatia picha na labda upate inspection certificate. Ukitaka kulikagua mwenyewe, nunua yaliyopo showrooms.Wadau Nawasalimu Siku huzi katia Mitandao Makampuni Mengi yanafanya kazi ya Kuagiza Magari baada ya Mteja kutoa Nusu ya Bei
Je uhakika wa uimara wa Gari kama MTEJA naujuaje bila kuliona na kulikagua kwanza?
Pili Je ni Vema kusubiri wayalete Show room ndio nikakague na kulipa Fedha zote?
Kuna kampuni zinafanya ukaguzi kabisa gari ikiwa Japan mkuu ikiwemo SBT lakini pia Beforward huwa wanaweka Inspection report kwenye website kwa kila gari husika.Wengi tumenunua magari kwa kuzingatia picha na labda upate inspection certificate. Ukitaka kulikagua mwenyewe, nunua yaliyopo showrooms.
camiWajuzi wa magar nahitaji gar ukizingatia njia ya huku nilipo ilinifike kazn njia ni mbovu sana gar gani ndogo economy itanifaa?
Toyota succeedWajuzi wa magar nahitaji gar ukizingatia njia ya huku nilipo ilinifike kazn njia ni mbovu sana gar gani ndogo economy itanifaa?
Bei halisi ya Toyota fielder ya 2008 Ina bei gani kwa Tanzania sio kwa mtuAs i wrte, ni 16.8m (DUTY & VAT INCL)
Unaweza kuagiza kwa malipo ya awamu-awamu ya hadi miezi 7 kupitia Semsella Enterprises, kutokea kampuni yeyote uipendayo, such as be forward, enhance etc.
Yaani 12.6m gari ikifika unakabidhiwa , 4.2m unaimalizia kwa installment ya hadi miezi saba
Kila mwezi 600,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ukijibiwa uni tag maana na mimi nina swali kama hili kichwani mwanguWajuzi wa Magari,naomba kufahamu Gari ya Premio ZZT,na subaru Impreza Manual,ipi bora
Vox na box la biscuit tofauti yake ni IPI?Mwenye kujua vizuri gari aina ya noah vox pls
Naomba ushauri nataka ninunue gari aina ya mistubishi chariot yenye engine ya rav 4. Sina uzoefu na hizi gari na sijui Changamoto zake. Naomba kusaidiwa kujua uimara wake, upatikanaji wa spare n.kAsante Danzi, nashukuru kwa hayo.