Ushauri: Unamtambulishaje mama wa kambo?

Ushauri: Unamtambulishaje mama wa kambo?

Mkyamise

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
526
Reaction score
677
Habari za leo waungwana? Naomba ushauri. Assume wewe ni mtoto wa kiume uliyezaliwa nje ya ndoa. Ikatokea ukafunga ndoa. Mkiwa kwenye sherehe ukumbini, MC akakutaka uwatambulishe ndugu zako. Hapo ukumbini yupo baba yako mzazi, mama yako mzazi, mama yako wa kambo na ndugu wengine. Sasa huyu mama wa kambo utamtambulisha kama nani? Kumbuka hutakiwi kumtambulisha kwa lugha au neno litakalomuudhi au kuleta ukakasi ili kidumisha mahusiano. Asanteni.
 
Hapo kwanza nita acha Ku assume,
Halafu utambulisho wangu utaaza kama ifuatavyo.
SALAMU,,,ndugu wageni wahalikwa ,mabibi na mabwana__
Asalaaam alekhum,
Kristo,
Bwana YESU asifiwe,
Kwa maajina ,(bwana harusi unataja majina yako)
Unatoa ukaribisho na kuendelea ,
Ningependa kutambulisha ndugu zangu ambao ni,kwanza
Baba yangu mzazi na mama yangu mzazi kwa pamoja wasimame wapunge mkono,,
Pacha wangu (kama unaye) asimame apunge mkono.

Unaendelea_mama zangu wadogo wote walipo wasimame wapunge mkono,
Baba wadogo, wasimame wapunge mkono,
Dada zangu wasimame wapunge mkono
Kaka zangu wasimame wapunge mkono,


Unamaliza wote kwa staili hiyo,
Angalizo ,,babu na bibi zako na shangazi Mkubwa watabulishe kipekee siyo kima fungu.

Huyo mama wakambo kama hakusimama na kupunga mkono ulipo watambulisha mama wodogo zako ukumbini hapo,asikulaumu.


Over&out
 
Hapo kwanza nita acha Ku assume,
Halafu utambulisho wangu utaaza kama ifuatavyo.
SALAMU,,,ndugu wageni wahalikwa ,mabibi na mabwana__
Asalaaam alekhum,
Kristo,
Bwana YESU asifiwe,
Kwa maajina ,(bwana harusi unataja majina yako)
Unatoa ukaribisho na kuendelea ,
Ningependa kutambulisha ndugu zangu ambao ni,kwanza
Baba yangu mzazi na mama yangu mzazi kwa pamoja wasimame wapunge mkono,,
Pacha wangu (kama unaye) asimame apunge mkono.

Unaendelea_mama zangu wadogo wote walipo wasimame wapunge mkono,
Baba wadogo, wasimame wapunge mkono,
Dada zangu wasimame wapunge mkono
Kaka zangu wasimame wapunge mkono,


Unamaliza wote kwa staili hiyo,
Angalizo ,,babu na bibi zako na shangazi Mkubwa watabulishe kipekee siyo kima fungu.

Huyo mama wakambo kama hakusimama na kupunga mkono ulipo watambulisha mama wodogo zako ukumbini hapo,asikulaumu.


Over&out
Wewe unampotosha... Ni lazima kiburudisho cha babako ambacho ni currently ukipe nafasi stahiki. Namna hii: naomba kutambua uwepo wa baba mzazi, mama Mzazi na mama mlezi, wote kwa pamoja wasimame.
 
Hapo juu sii sahihi, kama ni Mama ambaye mnaheshimiana na ana mapenzi ya kweli basi unatakiwa ukimtambulisha baba umtambulishe na mkewe kwa pamoja, halafu ndio umtambulishe Mama yako na mumewe kama naye kaolewa.
Njia nyingine ni kutambulisha baba halafu wamama wote wasimame kwa pamoja
 
mama mlezi vipi kwani umeambiwa kuwa analelewa na mama mlezi ??? kama ameoa akitokea alipokuwa anaishi na mama yake mzazi nasi babaake ???
 
Wewe unampotosha... Ni lazima kiburudisho cha babako ambacho ni currently ukipe nafasi stahiki. Namna hii: naomba kutambua uwepo wa baba mzazi, mama Mzazi na mama mlezi, wote kwa pamoja wasimame.
Kama ni kwa ndoa ya kiislamu sawa.

Kama ni kwa wakristo futa utaratibu niliokuelekeza
 
Kwani mama wa kambo humtambulisha vipi mtoto wake wa kambo akionana na watu? Kama akisema huyu mtoto wangu wa kambo nae mtambulishe kama mama wa kambo lakini ikiwa anasema huyu mtoto wangu. Basi na wewe useme huyu ni mama yangu mke wa baba yangu. Ikifika kwa mama mzazi ndio useme huyu mama yangu mzazi.
 
Wewe unampotosha... Ni lazima kiburudisho cha babako ambacho ni currently ukipe nafasi stahiki. Namna hii: naomba kutambua uwepo wa baba mzazi, mama Mzazi na mama mlezi, wote kwa pamoja wasimame.
Mama mlezi?mmhh kama hajakulea?
 
Habari za leo waungwana? Naomba ushauri. Assume wewe ni mtoto wa kiume uliyezaliwa nje ya ndoa. Ikatokea ukafunga ndoa. Mkiwa kwenye sherehe ukumbini, MC akakutaka uwatambulishe ndugu zako. Hapo ukumbini yupo baba yako mzazi, mama yako mzazi, mama yako wa kambo na ndugu wengine. Sasa huyu mama wa kambo utamtambulisha kama nani? Kumbuka hutakiwi kumtambulisha kwa lugha au neno litakalomuudhi au kuleta ukakasi ili kidumisha mahusiano. Asanteni.
Mama mlezi,ndo jina sahihi
 
Kama mahusiano si mazuri, naanza na Mama yangu, nitakuwa nimemtonya baba kwamba nikimtambulisha asimame na mkewe. Kama mahusiano ni mazuri, nitasema nina bahati ya kuwa na mama 2 au 3, na kuwatambulisha kwa kuanzia na mama yangu.
 
hapo utangalia nani kafunga ndoa na baba yako utamtambulisha kama baba na yangu mr &mrs alafu yule ambaye hajafungua unatambulisha mama yang sasa unaangalia kama mama yako Amefunga ndoa unasema namtambulisha baba na mama yang yang mzazi fulan au kama mama yako ajaolewa na baba yak unasema tu namtambulisha mama yangu mzazi
 
Back
Top Bottom