Punnisher
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 1,196
- 1,412
mkuu uliuwa bendiWakati naoa nilimtambulisha mama yangu. Kisha nikasema "pia nimtambulishe kwenu Baba yangu akiwa amesindikizwa na mke wake. Wasimame wawasalimu"
mkuu uliuwa bendiWakati naoa nilimtambulisha mama yangu. Kisha nikasema "pia nimtambulishe kwenu Baba yangu akiwa amesindikizwa na mke wake. Wasimame wawasalimu"
Hapa unamdhalilisha mzee ndg yangu. Kwanini uiambie hadhara waziwazi kuwa unao mama wawili? Si utauonyesha umma kuwa dingi ni mchepukaji?Kama mahusiano si mazuri, naanza na Mama yangu, nitakuwa nimemtonya baba kwamba nikimtambulisha asimame na mkewe. Kama mahusiano ni mazuri, nitasema nina bahati ya kuwa na mama 2 au 3, na kuwatambulisha kwa kuanzia na mama yangu.
Hakuna namna mkuu, inabidi tu!Unamuumbua mzee ndugu yangu hapa!
Ndugu yangu Juniour Lecturer huyu mama wa kambo akigoma kisimama kwenye kundi la mama wadogo?Hapo kwanza nita acha Ku assume,
Halafu utambulisho wangu utaaza kama ifuatavyo.
SALAMU,,,ndugu wageni wahalikwa ,mabibi na mabwana__
Asalaaam alekhum,
Kristo,
Bwana YESU asifiwe,
Kwa maajina ,(bwana harusi unataja majina yako)
Unatoa ukaribisho na kuendelea ,
Ningependa kutambulisha ndugu zangu ambao ni,kwanza
Baba yangu mzazi na mama yangu mzazi kwa pamoja wasimame wapunge mkono,,
Pacha wangu (kama unaye) asimame apunge mkono.
Unaendelea_mama zangu wadogo wote walipo wasimame wapunge mkono,
Baba wadogo, wasimame wapunge mkono,
Dada zangu wasimame wapunge mkono
Kaka zangu wasimame wapunge mkono,
Unamaliza wote kwa staili hiyo,
Angalizo ,,babu na bibi zako na shangazi Mkubwa watabulishe kipekee siyo kima fungu.
Huyo mama wakambo kama hakusimama na kupunga mkono ulipo watambulisha mama wodogo zako ukumbini hapo,asikulaumu.
Over&out
Ndugu yangu Junior Lecturer huyu mama wa kambo akigoma kusimama kwenye kundi la mama wadogo?Hapo kwanza nita acha Ku assume,
Halafu utambulisho wangu utaaza kama ifuatavyo.
SALAMU,,,ndugu wageni wahalikwa ,mabibi na mabwana__
Asalaaam alekhum,
Kristo,
Bwana YESU asifiwe,
Kwa maajina ,(bwana harusi unataja majina yako)
Unatoa ukaribisho na kuendelea ,
Ningependa kutambulisha ndugu zangu ambao ni,kwanza
Baba yangu mzazi na mama yangu mzazi kwa pamoja wasimame wapunge mkono,,
Pacha wangu (kama unaye) asimame apunge mkono.
Unaendelea_mama zangu wadogo wote walipo wasimame wapunge mkono,
Baba wadogo, wasimame wapunge mkono,
Dada zangu wasimame wapunge mkono
Kaka zangu wasimame wapunge mkono,
Unamaliza wote kwa staili hiyo,
Angalizo ,,babu na bibi zako na shangazi Mkubwa watabulishe kipekee siyo kima fungu.
Huyo mama wakambo kama hakusimama na kupunga mkono ulipo watambulisha mama wodogo zako ukumbini hapo,asikulaumu.
Over&out
Basi unasema baba na mama zangu wawili naomba wasimameUkimuita mama mdogo wakati yeye ni mkubwa kuliko mama yako itakuwaje? Pia ukimuita mlezi kama hakukulea itakuwaje?
vipi kama hakuwahi kukulea?mfano baba alizaa na mama then hawakuoana, baba alioa mke mwingine,na wewe ulilelewa na shangazi?.Wewe unampotosha... Ni lazima kiburudisho cha babako ambacho ni currently ukipe nafasi stahiki. Namna hii: naomba kutambua uwepo wa baba mzazi, mama Mzazi na mama mlezi, wote kwa pamoja wasimame.