Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Karma is a bitch na mchaga wako ni mpumbavu mmoja hivi numero uno….shortly wote akili hamna mnaongozwa na hisia
 
"Mwanamke ni kiumbe dhaifu,ishi nae kwa akili"asema Bwana wa Majeshi!
 
Wanawake wengi wa kizazi cha bet pawa, wamekosa uvumilivu katika ndoa, Mimi nasema unachokitafuta utakivuna hivi punde.
 
focus na ndoa yako ,huko kwa mchaga unafosi tu kupendwa ,ni vile akili yako haitaki kuukubali ukweli.
Komaa na mumeo alikuheshimisha ,ni zamu yako now kumrudisha kwenye mstari..kwa maombi au vyovyote vile ili mradi umlinde na usimamie nafasi yako kama mke .
 
focus na ndoa yako ,huko kwa mchaga unafosi tu kupendwa ,ni vile akili yako haitaki kuukubali ukweli.
Komaa na mumeo alikuheshimisha ,ni zamu yako now kumrudisha kwenye mstari..kwa maombi au vyovyote vile ili mradi umlinde na usimamie nafasi yako kama mke .

Shukurani mkuu
 
Back
Top Bottom