Mnawaza malezi ya watoto, kwani hapo mwanzo kabla hajajua, walikua wanaleaje watoto??Bwashee kwa kisa hiki,hao wana ndoa hata wakiendelea kuishi pamoja,hakuna tena upendo kati yao wala hawawezi kuja kuaminiana tena,
Suluhisho hapo ilikua ni kuachana tu ili huyo Mumewe aolewe na huyo mume wake ili achimbuliwe kwa uhuru zaidi coz ndio njia aliyoichagua,
Life is very short,hakuna haja ya kujitesa kwa kuendelea kuishi na mtu wa aina hiyo,hasa kwenye malezi ya watoto.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyo mwanamke nae mnafki tuu, yupo hapo sababu ya pesa aende wapi aache pesa ila ndo ivo Tena kumbe mumewe bwabwa na pengine ndo ajenda zao za kupata utajiri
Hapo Hana ujanja na yeye huyo mwanamke ipo siku watamfira tuu sababu ya tamaa zake, kinachofuata Sasa ni yeye kumsaga mumewe ili apewe anaconda ya pili.
Mbwa haoo😡Jamanii ila inauma kukuta ndani ya nyumba tena kitandani kwa watoto. Lol
Wewe umeleta uzi wakuomba ushauri,halafu unatupangia chakushauri! Kwahiyo ulitaka tutoe ushauri ambao utakufurahisha wewe tu? Kama ni hivyo,sasa kulikua na maana gani ya wewe kuleta uzi wa kuomba ushauri hapa?Mnawaza malezi ya watoto, kwani hapo mwanzo kabla hajajua, walikua wanaleaje watoto??
Kwani huwa mnawaza mashoga hawawezi kuwapa malezi bora watoto/wahitajii??
Na wanaume wengi saiz wanapenda huo mchezo🙌🏾Huyo mwanamke nae mnafki tuu, yupo hapo sababu ya pesa aende wapi aache pesa ila ndo ivo Tena kumbe mumewe bwabwa na pengine ndo ajenda zao za kupata utajiri
Hapo Hana ujanja na yeye huyo mwanamke ipo siku watamfira tuu sababu ya tamaa zake, kinachofuata Sasa ni yeye kumsaga mumewe ili apewe anaconda ya pili.
Calm down🫳🏽😃Wewe umeleta uzi wakuomba ushauri,halafu unatupangia chakushauri! Kwahiyo ulitaka tutoe ushauri ambao utakufurahisha wewe tu? Kama ni hivyo,sasa kulikua na maana gani ya wewe kuleta uzi wa kuomba ushauri hapa?
Watoto inabidi atimke nao tu , ataishe vip nyumba moja na mke wa mtu?😂😂😂😂😂😂, hujawaza kuhusu watoto?
Big up sana mkuu,Hizi story za kutunga au za kuongeza chumvi,
Mtu akupe zawadi ya Haria anakonda ya 55million then aje kufanywa ndani kwakwe, AChen kupandikiza huo upuuzi uonekAne ni jambo la kawaida,
Administer
Muwe mnafuta huu upuuzi kwa maelekezo tuu hamna uhalisia
Unanoga maana ni wa shetani siku zote Haram ina noga na ni tamu shetani huinogesha ili apate wadau wengi.Na wanaume wengi saiz wanapenda huo mchezo🙌🏾
Sijui shida nini sikuhizi jamani, yani na analose interest kabis aakiona hutaki kumfanyia huu ufirauni🤦🏽♀️Unanoga maana ni wa shetani siku zote Haram ina noga na ni tamu shetani huinogesha ili apate wadau wengi.
Ndo ivo mpaka mtu asukumiwe dole ndo idinde ndo walivojizoesha hivo bila hivo haoni raha, hiyo ndo raha yake alonogeshwa na shetani hapo kilichobakia ni kufirwa tuu na akishafirwa kuacha ndo basi Tena anakuwa kama kina cocastic kuliko aache heri mumuue afe, ndo raha yake utamshauri nini?Sijui shida nini sikuhizi jamani, yani na analose interest kabis aakiona hutaki kumfanyia huu ufirauni🤦🏽♀️
Hapo cha kushauri hamna, ni mpaka Mungu aingilie kati! Ila binafsi siwezi kufanya hivyo ata iweje.. wamejaa kila kona wanaita pegging😖Ndo ivo mpaka mtu asukumiwe dole ndo idinde ndo walivojizoesha hivo bila hivo haoni raha, hiyo ndo raha yake alonogeshwa na shetani hapo kilichobakia ni kufirwa tuu na akishafirwa kuacha ndo basi Tena anakuwa kama kina cocastic kuliko aache heri mumuue afe, ndo raha yake utamshauri nini?
Duuuh hiyo hatare hiyo ukimzoesha bwana ako hawezi acha Tena ndo tushampoteza kundini na shetani anaingilia kati anamnogesha zaidi mpaka afirwe laivu, mpaka ahakikishe amekuwa papaiHapo cha kushauri hamna, ni mpaka Mungu aingilie kati! Ila binafsi siwezi kufanya hivyo ata iweje.. wamejaa kila kona wanaita pegging😖