Unakuta umezaa na mdada mtoto mmoja uliyemzidi umri kama miaka kumi, unaamua kuishi nae wakati mnasomana tabia unamsauri aongeze elimu kidogo anakataa anaaanza tabia ambazo hata usuluhishe mara ngapi kwa kuwashirikisha wazazi bado anarudia, mfano wa hizo tabia ni;
Kukuibia fedha mfukoni, anatukana wazazi wako na ndugu ambao hata aishi nao, anakuwa mchoyo wa kupindukia hasa ndugu wakija kusalimia hata kama nyama ipo kwenye friji hawapikii,hata mtoto wake hamjali, pesa za matumizi anabana kwa kupika vyakula vibaya.
Ili fedha ampe mama yake na hivi wameanza ujenzi, house girl hakai miezi miwili mdomo katika majirani **** sita haongei nao wabaya kwake nk, unachukua maamuzi gani kama ulishakaa nae chini hata mara kumi na zaidi bado habaliki kila siku heri ya jana?
Ushuri tafadhali
Kukuibia fedha mfukoni, anatukana wazazi wako na ndugu ambao hata aishi nao, anakuwa mchoyo wa kupindukia hasa ndugu wakija kusalimia hata kama nyama ipo kwenye friji hawapikii,hata mtoto wake hamjali, pesa za matumizi anabana kwa kupika vyakula vibaya.
Ili fedha ampe mama yake na hivi wameanza ujenzi, house girl hakai miezi miwili mdomo katika majirani **** sita haongei nao wabaya kwake nk, unachukua maamuzi gani kama ulishakaa nae chini hata mara kumi na zaidi bado habaliki kila siku heri ya jana?
Ushuri tafadhali