johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Natoa tu angalizo, si vizuri kuibatiza miradi majina makabwa ya viongozi wa kisiasa kabla hata performance ya miradi hiyo haijaanza kuonekana. Niwapongeze wasimamizi wa uwanja wetu wa taifa kwa kuusibirisha ukomae kwanza ndipo uje upate ubatizo wa maji mengi. Nawasilisha!