SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Ni kweli kuwa umeonewa kupewa adhabu. Hilo kila mtu analielewa. Hao wanaosimamia haki (Polisi na NEC) ni wateule wa mgombea mwenzio. Hapo tatizo lipo kwenye katiba yetu.
Umefanya kampeni na watanzania wote tumeshuhudia jinsi ulivyowakaba koo watawala. Sasa hivi wanatafuta kila mbinu ili wakumalize. Hiyo adhabu ya wiki moja haitaathiri chochote kwenye imani ya watanzania juu yako, ndio kwanza watazidi kukubali.
Ukifanya kampeni wiki hii utakuwa umewapa nafasi ya kukukamata na kukuongezea adhabu, KUWA SMART.
Pumzika wiki hii baada ya hapo uje upige msumari wa mwisho kwenye sanduku la maiti ya POMBE kwenye maisha yake ya kisiasa.
Magufuli atatangazwa ila umeshampa adabu kuwa watanzania sio wajinga. Umemvua nguo kanda ya ziwa hadi aibu yaani!.
Leo hii jiwe anapiga magoti?! Kiburi chote kimekwisha.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Umefanya kampeni na watanzania wote tumeshuhudia jinsi ulivyowakaba koo watawala. Sasa hivi wanatafuta kila mbinu ili wakumalize. Hiyo adhabu ya wiki moja haitaathiri chochote kwenye imani ya watanzania juu yako, ndio kwanza watazidi kukubali.
Ukifanya kampeni wiki hii utakuwa umewapa nafasi ya kukukamata na kukuongezea adhabu, KUWA SMART.
Pumzika wiki hii baada ya hapo uje upige msumari wa mwisho kwenye sanduku la maiti ya POMBE kwenye maisha yake ya kisiasa.
Magufuli atatangazwa ila umeshampa adabu kuwa watanzania sio wajinga. Umemvua nguo kanda ya ziwa hadi aibu yaani!.
Leo hii jiwe anapiga magoti?! Kiburi chote kimekwisha.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app