Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,661
- 6,579
Toa mask hiyo tuone km yaliyomo yamoYaani miaka mitatu hujawahi fika kwa mchumba wako? Hauko serious
Toa mask hiyo tuone km yaliyomo yamoYaani miaka mitatu hujawahi fika kwa mchumba wako? Hauko serious
Tuendelee kuombolezaMiaka mitatu hupajui kwake.miaka mitatu hujamjaza mimba huu ni msiba wa kitaifa
Wenye degree zenu za Uchumba sasa
Kama Mimi ambavyo sijakuelewa, na Leo hii ndio sikukuu yenu
jf kibokoUchumba wa miaka mitatu huo sio uchumba ni sehemu yako rahsi ya kushusha wazungu miaka mitatu hata kutema mate shemej hamna hahaha hapana aisee
Bado sekunde moja tu angetoka nje ya wajinga.
Ha ha ha, mwamba anatamani afute post yake, sio kwa za uso hzi.Miaka mitatu hupajui kwake.miaka mitatu hujamjaza mimba huu ni msiba wa kitaifa
Watu wanadumu aiseee..Wenye degree zenu za Uchumba sasa
Anakudanganyaga nini hadi ufiki kwake?
Sijakuelewa mkuu?
Kama Mimi ambavyo sijakuelewa, na Leo hii ndio sikukuu yenu
Hapo inaonesha kuna kitu hakipo sawa, ila hajawa wazi kukisema.Yaani miaka mitatu hujawahi fika kwa mchumba wako? Hauko serious
3 years au sio, degree of uchumbashipWenye degree zenu za Uchumba sasa
Naomba mnisadie hili jambo.
Nimedumu na mpenzi wangu kipenzi kwa muda wa miaka mitatu mpaka sasa.
Tuna ndoto kubwa ya kuja kuwa wanandoa muda si mrefu, lakini katika miaka mitatu mimi "male" sijawahi kufika nyumbani kwake.
Yeye mara kwa mara huja nyumbani kwangu kunitembelea, sasa amekuwa akinilalamikia mara kwa mara kwa nini siendi kwake? Kiufupi mimi huwa sina tabia ya kwenda kwa mwanamke ndio msimamo wangu nilio jiwekea.
Naomba mnipe ushauri vijana wenzangu kwa huu msimamo wangu unaweza kuathiri chochote kwenye mahusiano yetu? Ahsanten