Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,548
Reaction score
23,868
Kama unaona stori ni ya uongo na hujatozwa hela kwanini umkatishe msimuliaji tamaa?! Sisi wengine tunanufaika na simulizi za humu kwani zinatupunguzia stress.

Sasa unakuta stori ni nzuri sana na ungependa kusoma muendelezo wake, wanaibuka watu wa kumkatisha tamaa msimuliaji kwa kumuambia "unatupiga kamba" au "chai ya leo balaa" wengine wanaenda mbali zaidi na kiandika lugha mbaya! Au mods niwafundishe kazi?!

Hujaombwa hela ya bundle, kwanza humfahamu mleta story wala hujamnunulia hiyo device anayotumia kuandalia simulizi lakini unaibuka na kumkatisha tamaa!

Aisee wenye tabia hizi acheni mambo yenu ya ajabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom