Ushauri toka moyoni

Ushauri toka moyoni

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
703
Reaction score
768
Yuko sahihi
Au hayuko sahihi
Ni wewe na mimi kuamua.

Yeye anakupa first hand experience.
Na kwa upendo wake anasema,
Kwa wale ambao hamjachukua hatua kama aliyochukua yeye,
STAND YOUR GROUND.

Amesukumwa na upendo tu.
Hana anachotegemea kutoka kwako.
Na sitaki kuamini kuwa anafanya hivyo
kwa kukutakia mabaya.
I DON'T THINK SO!

 
Back
Top Bottom