Let me guess...Wazo langu ni kuwa TANESCO wa charge angalau Tsh 1000/= kwa mwezi kama mamlaka nyingine zinavyofanya. Naamini idadi ya wateja wa TANESCO wanaweza kuwa zaidi ya 2m. Maana yake hapo TANESCO wanaweza kupata zaidi ya Tsh. 2B kwa mwezi na zikasaidia kwenye mambo yafuatayo.
Itakuwa TANESCO wanakujia mara kwa mara ili uwakopeshe pesa za kuendeshea shughuli zao...
...Aidha, pamoja na kukujia mara kwa mara na wewe kuwakopesa, inaelekea wanakuwa waziti kukulipa pesa zako!!
Kama ilivyo, kila mtu ana kiwango chake cha uvumilivu, na wewe inaelekea umeshawachoka TANESECO....
...Baada ya wewe kuchoshwa na TANESCO na tabia yao ya kutokukulipa mabilioni yako, kwa uzalendo mkubwa unawashauri wa TANESCO warudishe service charges ili iwasaidie kujiendesha, na ikiwezekana surplus waitumie kukulipa pesa zako!
Si nimepatia ndugu..... ebo! Kumbe unajiita Hardlife
Halafu sijui kwanini kama njaa inakuuma kweli kweli wala huwezi kupata hamu ya ugali maharage, au ugali mchicha... yaani hapo lazima utamani chips kuku, na pepsi ya bariiiiiiidi, na pili pili ya kutafunia!