Ushauri tafadhari!

Sinai

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
288
47
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, jana mida ya saa 10 hivi jioni aliniomba ushauri, yeye anataka kufuga kuku kwa kuwa amekuwa mtu mzima sasa! Anaomba ushauri, atafute kuku wa aina gani? Je aende kwao kijijini huko Songea kutafuta kuku wa kienyeji au abebe kuku wa kisasa hapa hapa mjini? Je kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji yupi anafugika kirahisi? Na niyupi mtamu kwa kumla zaidi ya mwingine?


Nawasilisha wadau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Mshauri kwamba cha muhimu hapa ni kuangalia TABIA (uvumilivu, upendo, uchamungu, ukarimu, ucheshi nk.) ndipo atakuwa amepata kitu bora cha kudumu. Haijalishi awe wa shamba au wa mjini. Wa shamba ukimleta mjini akiujua mji kama ana macho juu na hana tabia nzuri, anakushinda. Wa mjini anakuwa kaishaujua mji na mikiki yake, hivyo akiwa na sifa hizo hapo juu pia anafaa.
 
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, jana mida ya saa 10 hivi jioni aliniomba ushauri, yeye anataka kufuga kuku kwa kuwa amekuwa mtu mzima sasa! Anaomba ushauri, atafute kuku wa aina gani? Je aende kwao kijijini huko Songea kutafuta kuku wa kienyeji au abebe kuku wa kisasa hapa hapa mjini? Je kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji yupi anafugika kirahisi? Na niyupi mtamu kwa kumla zaidi ya mwingine?


Nawasilisha wadau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Unaposema kuku wa kisasa : hatembei ( hukaa ndani tu na kusubiria kuletewa), legegele, hawajui ulimwengu ilivyo, swali wadada wa mjini wapo hivyo? kuku wa kienyeji - wajanja, vitembezi, vinakula kila kitu kilichopo mbeye yao! swali wadada wa kijijini wako hivyo? Sasa cjui kwa nini unatumia kufananisha wasichana wa mjini na kuku wa kisasa, na wavijijini na kuku wa kienyeji! Basi kwa mfano huu bora wa kisasa coz hatakusumbua kwenda kwa majirani kutafuta msosi.
 
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, jana mida ya saa 10 hivi jioni aliniomba ushauri, yeye anataka kufuga kuku kwa kuwa amekuwa mtu mzima sasa! Anaomba ushauri, atafute kuku wa aina gani? Je aende kwao kijijini huko Songea kutafuta kuku wa kienyeji au abebe kuku wa kisasa hapa hapa mjini? Je kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji yupi anafugika kirahisi? Na niyupi mtamu kwa kumla zaidi ya mwingine?


Nawasilisha wadau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1


Kijijini atakutana na wale waliokwisha tumika sana mjini ndo wakarudi huko. Au wale ambao wanahudumia mtendaji wa kata, headmaster, mfanyabiashara na yeyote anayetoka mjini.

Vitu genuine siku iz viko mjini...
 
Back
Top Bottom