achana nae mdogo wangu,utaumia bure,huko alikokua ametibukiwa kwa hiyo kaamua kukurudia wewe ili apate faraja,pia anajua udhaifu wako kwamba unampebda hivyo anajaribu kuutumia.
nakuhakikishia huko alikokua mambo yamuendea mrama sasa ameamua kukukimbilia ww maana unaweza kupatikana kwa urahisi kuliko kuanza kufukuzia mwanamke mpya. unajua mwanamke ni kama kazi,ni rahisi kupata kazi ukiwa unafanya kazi kuliko ukiwa huna kazi,vile vile ni rahisi kupata mpenzi mpya ukiwa na mpenzi mwingine kuliko kutokua nae.
nakuhakikishia utakuja kulia tena,tena utalia sana tu.mkubalie kwa hasara yako mwenyewe.