Violet
Member
- Nov 17, 2008
- 99
- 4
Miaka kumi ya ndoa lazima kuna vitu mwanamke unajisahau. Mwanamme wa kiafrika ukitaka kumzungusha akili tena ... ni vijimambo vya ndani ya nyumba. mfano ice cream cone,new styles( internet) Hayo mambo ya kwenda out, dinner, siyo ya kumshtua mwanamme wa kiafrika,unaweza kuchukua aka sinzia.