Umemtoa dem bar alafu umemleta Kwako umemnyandua vizuuri unalala.
kesho yake kabla ujaenda job unaamka unakuta ameng'arisha nyumba yote na akakupikia Chai ya nguvu kisha anadai anaomba muongee anakwambia NAOMBA UNIOE MIMI. Hata kama ni bar sitaenda huko tena." Kisha unakunywa chai nzuri unamwambia tutalonga jioni.
Unaenda zakoKAZINI unamwacha nyumbani kwako unarudi unakuta amepiga pasi nguo zote vizuri tu, amekupikia chakula kitamu, amepanga nguo zako vizuri na chumba chako safii alafu unashtuka kuona ameleta kila kitu chake. Ukicheki una mchumba wako yupo mbali Kidogo mnaonanaga Kila baada ya mwezi mmoja. Na uyo mrembo ameng'ang'ania kwako alafu wallai anajua staili zote za mnyanduano zaidi ya mchumba wako. Je utafanyaje?
Kiukweli uzi wako umeunogesha kwa picha nzuri sana. Hongera sana.
Hivi unadhani kwakuwa anafanya kazi bar hana hisia za kuwa wife material?
Au kwakuwa umemtoa bar ndiyo unamshusha vyeo vyake?
Amini usiamini, huyo wa bar anaweza kuwa vizuri kuliko hata huyo unayemfikiria.
Ila una akili sana kuambatanisha na picha
Wanasayansi wanasema iq ya mwanaume rijali hupungua kidogo akiwa pamoja na mwanamke mwenye mvuto
Akili inakuambia hivi kichwa kidogo huku chini kinakwambia vingine[emoji23]