Ushauri tafadhali: Wanangu wanakoelekea siko

Ushauri tafadhali: Wanangu wanakoelekea siko

Wakuu nina vijana wangu wawili, wa kike na wa kiume. Wote wako high school sasa. Kimasomo naona kama wanaenda vizuri ila kimaadili napata shaka kidogo hadi nimeamua kuomba muongozo kwa wadau wenzangu hapa.Wako shule tofauti na huwa nawasiliana nao kwa simu, call na texts.

Sasa mimi baba yao nilikuwa nyuma kidogo na hii technology ya whatsApp, simu yangu ilikuwa haisupport hii huduma halafu pia nilikuwa sina munkari nayo kivile. Sasa majuzi hapa nimenunua simu ya kisasa kuliko niliyokuwa nayo mwanzo ni hizi smartphone.

Sasa na mimi ndo sasa nikaamua kujiunga na haya ma-whatsApp. Katika kupekenyua huku na kule si nikaingia kwenye profile zao, daah. Vilivyoko huko sikutegemea kabisa, hayo maneno sasa ya malavidavi kwenye status zao, na yanavyobadilishwa kila siku, khaa nimechoka mwili na roho na hizo picha hivyo vivazi sasa ndo mimeishiwa nguvu kabisa, hata sijawahi waona wakivivaa nyumbani na hata sijui wanavipata wapi.

Kama mzazi najitahidi sana kuongea na wanangu, hadi huwa najipa imani kuwa wananielewa ila haya mambo yao ya kwenye mitandao ndo yamenipa mashaka sasa. Sijawauliza chochote hao watoto na wala hata wife sijamshirikisha. Nimeona nije kwanza kupata ushauri wenu kwa kunijibu mambo yafuatayo.

Je na wewe kama mzazi ulishawahi ona mambo kama hayo kwa vijana wako we uliyachukuliaje.Je haya ni mambo ya kawaida tu katika ulimwengu wa sasa hivyo niyapuuze,je nifanyeje mimi kama mzazi.

NB: Team kuponda tafadhali piteni tu huko pembeni, nitawashukuruni sana.

bila shaka webutakuwa ni DADY sio FATHER..! au DINDI!!!
 
lara 1 nasubiri kusikia maoni yako aisee
just be you, mi siyo kama yule mdada anayetaka kusikia yanayomfurahisha tu

Kuna uzi nimeuanzisha wa mambo haya haya ya high school jaribu kuupitia ngoja nisome afu nitoe ushauri.
 
Relaxxxxxxxxxxx! Some things hawa vijana should learn though their own mistakes.
 
Moja kati ya vitu vinavyoharibu maadili ya vijana wetu ni kukua kwa teknolojia pamoja na utandawazi....mzazi kama mzazi huna la kufanya kuwazuia kwani labda uwafungie ndani na wasitoke nje kabisa....
Jambo la busara ni kuwafundisha matumizi mazuri ya teknolojia kama vile kutafuta notice kwa ajili ya kujisomea na vitu vingine vyenye manufaa kwao....
 
Wakuu
nina vijana
wangu wawili, wa kike na wa kiume. Wote wako high school sasa. Kimasomo
naona kama wanaenda vizuri ila kimaadili napata shaka kidogo hadi
nimeamua kuomba muongozo kwa wadau wenzangu hapa.Wako shule tofauti na
huwa nawasiliana nao kwa simu, call na texts.

Sasa mimi baba yao nilikuwa nyuma kidogo na hii technology ya whatsApp,
simu yangu ilikuwa haisupport hii huduma halafu pia nilikuwa sina
munkari nayo kivile. Sasa majuzi hapa nimenunua simu ya kisasa kuliko
niliyokuwa nayo mwanzo ni hizi smartphone.

Sasa na mimi ndo sasa nikaamua kujiunga na haya ma-whatsApp. Katika
kupekenyua huku na kule si nikaingia kwenye profile zao, daah. Vilivyoko
huko sikutegemea kabisa, hayo maneno sasa ya malavidavi kwenye status
zao, na yanavyobadilishwa kila siku, khaa nimechoka mwili na roho na
hizo picha hivyo vivazi sasa ndo mimeishiwa nguvu kabisa, hata sijawahi
waona wakivivaa nyumbani na hata sijui wanavipata wapi.

Kama mzazi najitahidi sana kuongea na wanangu, hadi huwa najipa imani
kuwa wananielewa ila haya mambo yao ya kwenye mitandao ndo yamenipa
mashaka sasa. Sijawauliza chochote hao watoto na wala hata wife
sijamshirikisha. Nimeona nije kwanza kupata ushauri wenu kwa kunijibu
mambo yafuatayo.

Je na wewe kama mzazi ulishawahi ona mambo kama hayo kwa vijana wako we
uliyachukuliaje.Je haya ni mambo ya kawaida tu katika ulimwengu wa sasa
hivyo niyapuuze,je nifanyeje mimi kama mzazi.

NB: Team kuponda tafadhali piteni tu huko pembeni, nitawashukuruni sana.

mkuu usifikilie mungu atawabadilisha bila jitihada zako. remember charity
begins at home embu mwambia mama aongee nao tena kwa ukari.

kama mama ni mpole wew nenda kwenye watsap zao weka"???????????????"? then baki kimya.
 
Mkuu usinihukumu kwa lugha niliyotumia, yaani ulitaka niandike kiheshimaheshima ndo ujue mi mtu mzima nastahiri kuwa na watoto wa rika hilo??

Anyway whether it's a cooked story, still I believe there are people who will learn something out of this shit story of mine. We changia tu kwa roho nyeupe ukiamini kuna mtu atajifunza not necessarily mie, story ngapi hapa mkuu ni feki lakini bado tunachangia

Kumbe nafaa kabisa kuwa shushushu.-Heri sasa umenyoosha maneno.

Baki tu ze topiki:

Waswahili wanasema 'kila zama na Mitume yake',
Hatuna budi kuihuisha dhana hiyohiyo katika nyanja ya utamaduni pia,
Hii ni kutokana na kuingiliwa kwa nguvu na kasi kwa mifumo yetu ya kimaisha na maendeleo ya sayansi na teknolojia.

Kila zama ama kizazi basi,-na utamaduni wake.
Sayansi na teknolojia inalazimisha watu tuishi katika mazingira ambayo yanaifanya Dunia kuwa kama kijiji kimoja sasa.
Ingawa zipo faida lukuki chanya tuzipatazo lakini,- na hasara zake pia zipo na zinaleta athali anuai kutoka tamaduni kwenda kwa nyingine (Kutoka inchi na inchi au bara moja kwenda lingine)
Kwa maana ya kuwa utamaduni wa upande mmoja wa dunia kuwa na uwezo wa kupenya upande mwingine na hivyo kuwa na athali ya moja kwa moja inayoweza kuonekana na pengine kupokelewa.

Sitaki kusema kuwa hao 'Wanao' wameathirika na utamaduni wa ng'ambo, La hasasha lakini, kwa mujibu wako mwenyewe ni kuwa hiyo mienendo ambayo hukuitarajia wao kuwa nayo na ambayo uliishuhudia kupitia tehama ni wazi chanzo ni teknolojia.

Chakukupa moyo ni kuwa kama yaonekanayo kwenye hizo kurasa zao za mawwasiliano ni tofauti na unayoyaona wakiwepo nyumbani kwako,Ni wazi kuwa hao watoto wanajitambua na huna haja ya kuwa na wasiwasi sana.
Mwanafunzi wa high school si mtoto tena, anajua baya na zuri pia.

Lakini, Kwa akiba tu na kama kuongezea usalama kwa wanao,
Huna budi kuwaweka chini wote kuwausia uzuri na ubaya wa yafanyayo na matatizo wanayoweza kukumbana nayo iwapo watakuwa wanaiga sana kila wanachokiona kupitia teknolojia ya habari.

Mwisho kabisa, waache madogo 'wale bata' kiasi (Ujana) ili kesho wapate cha kuja kuwahadithia wajukuu zao,
Tatizo madingi mnakuwaga na unoko utafikiri nyie hamjaupitia ujana, acheni hizo bwana.
 
Waozeshe tu mkuu usije letewa vijukuu nyumbani hapo
 
Kuna uzi nimeuanzisha wa mambo haya haya ya high school jaribu kuupitia ngoja nisome afu nitoe ushauri.

Huo nadhani ulinipita kushoto, ngoja nijaribu kuu-search kama nitaupata, ila search facility ya JF naona kama siyo user-friendly
 
Wakuu nina vijana wangu wawili, wa kike na wa kiume. Wote wako high school sasa. Kimasomo naona kama wanaenda vizuri ila kimaadili napata shaka kidogo hadi nimeamua kuomba muongozo kwa wadau wenzangu hapa.Wako shule tofauti na huwa nawasiliana nao kwa simu, call na texts.

Sasa mimi baba yao nilikuwa nyuma kidogo na hii technology ya whatsApp, simu yangu ilikuwa haisupport hii huduma halafu pia nilikuwa sina munkari nayo kivile. Sasa majuzi hapa nimenunua simu ya kisasa kuliko niliyokuwa nayo mwanzo ni hizi smartphone.

Sasa na mimi ndo sasa nikaamua kujiunga na haya ma-whatsApp. Katika kupekenyua huku na kule si nikaingia kwenye profile zao, daah. Vilivyoko huko sikutegemea kabisa, hayo maneno sasa ya malavidavi kwenye status zao, na yanavyobadilishwa kila siku, khaa nimechoka mwili na roho na hizo picha hivyo vivazi sasa ndo mimeishiwa nguvu kabisa, hata sijawahi waona wakivivaa nyumbani na hata sijui wanavipata wapi.

Kama mzazi najitahidi sana kuongea na wanangu, hadi huwa najipa imani kuwa wananielewa ila haya mambo yao ya kwenye mitandao ndo yamenipa mashaka sasa. Sijawauliza chochote hao watoto na wala hata wife sijamshirikisha. Nimeona nije kwanza kupata ushauri wenu kwa kunijibu mambo yafuatayo.

Je na wewe kama mzazi ulishawahi ona mambo kama hayo kwa vijana wako we uliyachukuliaje.Je haya ni mambo ya kawaida tu katika ulimwengu wa sasa hivyo niyapuuze,je nifanyeje mimi kama mzazi.

NB: Team kuponda tafadhali piteni tu huko pembeni, nitawashukuruni sana.

wasubiri warudi toka likizo then:

Kaa na binti mwambie maadam keshaanza malavidavi basi kakua tayari so responsibility yako kwake imeisha hususani kwa upande wa finance. mwambie natural law inasema mwanamme anatakiwa kumsupport mpenzi wake so hao anaoflirt nao wanawajibika kumsupport kwa mambo yote..kama hakubaliani na hilo basi awe subject kwa amri na matakwa yako mpaka hapo muda utakapofika wa yeye kuwa independent

kaa na bin
mwambie maadam keshaanza mambo ya maden na kwa kuwa wanaume tunawajibika kuwasupport wapenzi wetu hivyo obviously atakuwa anawatoa kifedha so inaelekea ana means za kupata hela kwa hiyo azitumie means hizo kupatahela ya kutosheleza mahitaji yake yote yakiwemo na ya mademu zake

Unajua nini? wakichuja hayo yote watagundua kuwa kitu muhimu kwao ni hudunma wanayoipata kwako ikiwemo ada, pocket money na mwongozo in general.....na hiyo ndo nguvu ya fedha baba

Do I sound like Hitler in "THE FINAL SOLUTION"?
 
wasubiri warudi toka likizo then:

Kaa na binti mwambie maadam keshaanza malavidavi basi kakua tayari so responsibility yako kwake imeisha hususani kwa upande wa finance. mwambie natural law inasema mwanamme anatakiwa kumsupport mpenzi wake so hao anaoflirt nao wanawajibika kumsupport kwa mambo yote..kama hakubaliani na hilo basi awe subject kwa amri na matakwa yako mpaka hapo muda utakapofika wa yeye kuwa independent

kaa na bin
mwambie maadam keshaanza mambo ya maden na kwa kuwa wanaume tunawajibika kuwasupport wapenzi wetu hivyo obviously atakuwa anawatoa kifedha so inaelekea ana means za kupata hela kwa hiyo azitumie means hizo kupatahela ya kutosheleza mahitaji yake yote yakiwemo na ya mademu zake

Unajua nini? wakichuja hayo yote watagundua kuwa kitu muhimu kwao ni hudunma wanayoipata kwako ikiwemo ada, pocket money na mwongozo in general.....na hiyo ndo nguvu ya fedha baba

Do I sound like Hitler in "THE FINAL SOLUTION"?

Hii approach yako pia nimeipenda mkuu, asante sana!
 
Wakuu nina vijana wangu wawili, wa kike na wa kiume. Wote wako high school sasa. Kimasomo naona kama wanaenda vizuri ila kimaadili napata shaka kidogo hadi nimeamua kuomba muongozo kwa wadau wenzangu hapa.Wako shule tofauti na huwa nawasiliana nao kwa simu, call na texts.

Sasa mimi baba yao nilikuwa nyuma kidogo na hii technology ya whatsApp, simu yangu ilikuwa haisupport hii huduma halafu pia nilikuwa sina munkari nayo kivile. Sasa majuzi hapa nimenunua simu ya kisasa kuliko niliyokuwa nayo mwanzo ni hizi smartphone.

Sasa na mimi ndo sasa nikaamua kujiunga na haya ma-whatsApp. Katika kupekenyua huku na kule si nikaingia kwenye profile zao, daah. Vilivyoko huko sikutegemea kabisa, hayo maneno sasa ya malavidavi kwenye status zao, na yanavyobadilishwa kila siku, khaa nimechoka mwili na roho na hizo picha hivyo vivazi sasa ndo mimeishiwa nguvu kabisa, hata sijawahi waona wakivivaa nyumbani na hata sijui wanavipata wapi.

Kama mzazi najitahidi sana kuongea na wanangu, hadi huwa najipa imani kuwa wananielewa ila haya mambo yao ya kwenye mitandao ndo yamenipa mashaka sasa. Sijawauliza chochote hao watoto na wala hata wife sijamshirikisha. Nimeona nije kwanza kupata ushauri wenu kwa kunijibu mambo yafuatayo.

Je na wewe kama mzazi ulishawahi ona mambo kama hayo kwa vijana wako we uliyachukuliaje.Je haya ni mambo ya kawaida tu katika ulimwengu wa sasa hivyo niyapuuze,je nifanyeje mimi kama mzazi.

NB: Team kuponda tafadhali piteni tu huko pembeni, nitawashukuruni sana.
Pole sana
 
Back
Top Bottom