Ushauri tafadhali: Wanangu wanakoelekea siko

Ushauri tafadhali: Wanangu wanakoelekea siko

Naogopa sana kulea. I stay awake some nights wondering how this journey will go.

sure it's a challenging task, but you have to face it
 
Kama umesoma vizuri maelezo yangu, nimesema wakiwa home wanavaa vizuri tu kwani nilishaongea nao khs suala la mavazi. Tena nisingejua kuwa wanavaaga hivyo huko, ni vile nimeingia kwenye profile zao na kuangalia picha zao wanazoweka huko PLUS maneno wanayoandika kwenye status zao

sawa...ndio uwaambie sasa wanastahili kuvaa kwa heshima[kwa tafsiri yako] kila mahali wanapokuwa sio ndani ya nyumba tu.
 
hebu fanya fanya unipatie namba ya huyo mtoto wako wa kike wa high school aisee...!!
 
Hili ni janga kwa sasa mitandao inaharibu sana hapo bado ujaangalia facebook zao unaweza kuzimia mzazi.
 
hebu fanya fanya unipatie namba ya huyo mtoto wako wa kike wa high school aisee...!!

ila siku hivi umezidi ndg yangu, yaani we kila uzi masihara masihara tu aisee!!!
 
Kama umesoma vizuri maelezo yangu, nimesema wakiwa home wanavaa vizuri tu kwani nilishaongea nao khs suala la mavazi. Tena nisingejua kuwa wanavaaga hivyo huko, ni vile nimeingia kwenye profile zao na kuangalia picha zao wanazoweka huko PLUS maneno wanayoandika kwenye status zao
Ukiona wanavaa hivyo mbali na nyumbani basi jue hawapo katika hali mbaya ila ni ujana tu unawasumbua kikubwa ni kukaa nao kiurafiki na kuzidi kuwasisitiza namna ya kuishi maisha mazuri na kufikia malengo yao. Mie nina imani kama mtoto atakuwa suported aweze kufikia malengo yake na kila muda unamuuliza maendeleo yake na wapi amekwama huwa wanakwenda vizuri. Kiukweli hata sie tulikuwa watukutu though mbele ya wazazi tulikuwa watakatifu. Hao hujachelewa mkuu tumia mbinu ya kiungwana sio ile ya kibabe
 
Ukiona wanavaa hivyo mbali na nyumbani basi jue hawapo katika hali mbaya ila ni ujana tu unawasumbua kikubwa ni kukaa nao kiurafiki na kuzidi kuwasisitiza namna ya kuishi maisha mazuri na kufikia malengo yao. Mie nina imani kama mtoto atakuwa suported aweze kufikia malengo yake na kila muda unamuuliza maendeleo yake na wapi amekwama huwa wanakwenda vizuri. Kiukweli hata sie tulikuwa watukutu though mbele ya wazazi tulikuwa watakatifu. Hao hujachelewa mkuu tumia mbinu ya kiungwana sio ile ya kibabe

Appreciation mkuu, pamoja sana!!
 
kwanini umewanunulia simu watoto wa shule, na kama jibu eti uwasiliane nao, je unawasiliana nao kitu gani au ndo ile kusalimiana tu. Nakushauri wakija likizo chukua simu zote na uwaeleze kwann umechukua maamuzi hayo.
 
Watoto bwana usitumie hasira wala nguvu kuwafunza, tumia upole tu kwani ukweli ni kwamba wakiamua kufanya huwezi kuwakataza hata, yani huwezi, na mara nyingi ukiwa mkali tu ndo wanazidisha.

chamsingi wambie kwa upole na huku ukiwaombea, dunia ya sasa + dot com ni hatari sana. we endelea tu kuwaonya taratibu huku ukiwaeleza madhara ya hayo malavidavi. WATABADILIKA
 
Mkuu kama hutaki kufa mapema naomba jitoe huko whatapp...waachie vijana wako nafasi wa burudike na mitandao.
 
yaani mijitu mingine inakera!! utafikiri limeitwa!

ni wa kuwazoea tu.....mie watu wanaonikera uwa nasemaga sawa/asante mkuu....basi ili kuepusha malumbano zaidi....
 
kwanini umewanunulia simu watoto wa shule, na kama jibu eti uwasiliane nao, je unawasiliana nao kitu gani au ndo ile kusalimiana tu. Nakushauri wakija likizo chukua simu zote na uwaeleze kwann umechukua maamuzi hayo.

Huu uamuzi si mzuri kwangu binafsi. Simu sio tatizo hapo tatizo liko ndani yao mkuu.
 
ila siku hivi umezidi ndg yangu, yaani we kila uzi masihara masihara tu aisee!!!

Majitu sampuli hyo yanani chefuaga sana mkuu. Always yana post ujinga tu...alaf yanajiona mijanja kweli....ya ignore.
 
Back
Top Bottom