ikibidi chukua simu zao watoto hao acha waje kuktana nazo huko mbele ya safari..mavazi kuwa mkali kama pilipili wataacha...mama akusaidie kwa huyo msichana upekuzi wa ghafula ufanyike wakat wa likizo...
kama ulikuwa unawaruhusu disco sasa marufuku..geti kali...acha afanye kwa kuibaiba lkn sio mbele ya macho yako
kuna watu wanakwambia eti ndio dunia yao, ukiwaacha tu wataharibika kabisa..
kuna rafiki yangu alimpa uhuru mwanae kuvaa hata vichupi badae kale kabint kakaanza pombe kakiwa kadogo sana sas mamake anahaha huku na kule motto wa form six full majanga..ni motto wa madisco na pombe za kumwaga yaani ni aibu
kama ulikuwa unawaruhusu disco sasa marufuku..geti kali...acha afanye kwa kuibaiba lkn sio mbele ya macho yako
kuna watu wanakwambia eti ndio dunia yao, ukiwaacha tu wataharibika kabisa..
kuna rafiki yangu alimpa uhuru mwanae kuvaa hata vichupi badae kale kabint kakaanza pombe kakiwa kadogo sana sas mamake anahaha huku na kule motto wa form six full majanga..ni motto wa madisco na pombe za kumwaga yaani ni aibu