Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,649
Ndugu yangu Me370,
Hapo ulipo umeshanasa na sidhani kama itakuwa rahisi kujinasua...Hata hivyo jiandae kisaikolojia kuhandle mateso ya hali ya juu kwa sababu nafsi yako haiko kwenye msatari...
Kama ukiweza kudeal na matatizo yako, basi naamini utakuja hapa kummwagia sifa huyo x-kicheche wako....
Mwisho.., nakushauri uache kutumia lugha ya kashfa kwa mtu anayekupa uhai kama huyo dada....lol!!
Babu DC!!
Hapo ulipo umeshanasa na sidhani kama itakuwa rahisi kujinasua...Hata hivyo jiandae kisaikolojia kuhandle mateso ya hali ya juu kwa sababu nafsi yako haiko kwenye msatari...
Kama ukiweza kudeal na matatizo yako, basi naamini utakuja hapa kummwagia sifa huyo x-kicheche wako....
Mwisho.., nakushauri uache kutumia lugha ya kashfa kwa mtu anayekupa uhai kama huyo dada....lol!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: