Optimist_1
Member
- May 28, 2013
- 10
- 0
Amani kwenu wanaJF,
Kwa wale wenye utaalamu wa magari, naomba ushauri wenu wa gari ipi ifaayo kwa kwa kuzingatia mambo yafuatayo,
Mimi nimewaza Suzuki Jimny, au Terios Kid (check picha); mnanishaurije wapendwa?
Nawasilisha!
Kwa wale wenye utaalamu wa magari, naomba ushauri wenu wa gari ipi ifaayo kwa kwa kuzingatia mambo yafuatayo,
- Matumizi - kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale kwa Dar es Salaam (au nje kidogo ya Dar kama Bagamoyo, Moro,Kisarawe nk) na kuzingatia hali ya barabara ambapo mara nyingi nitakuwa napita njia za vumbi.
- Pia iwe yenye urahisi wa kupata spea uhitaji ukitokea,
- Iwe ni all wheel drive a.k.a 4WD
- Ulaji mdogo sana wa mafuta, preferably <1,000 cc
Mimi nimewaza Suzuki Jimny, au Terios Kid (check picha); mnanishaurije wapendwa?
Nawasilisha!