Ushauri: Someni nyuzi za watu kwa makini

Ushauri: Someni nyuzi za watu kwa makini

mbona kama unamshambulia
[/QUOTE]
mwache tu,maana hata uzi wangu hakuusoma na haelewi nilichoandika,ndivyo ngulumbili walivyo
 
Baadhi ya watu humu JF hawasomi nyuzi kwa ukamilifu wake,na ama huanza kuziponda nyuzi au kuuliza maswali,ambayo majibu yake yapo kwenye hizo nyuzi.

Baadhi hukimbilia kujifanya wao wanajua hizo nyuzi kuliko hao walioandika nyuzi hizo.Huo ni utoto wa hali ya juu.Soma uzi mpaka mwisho,ukiwa na swali uliza,ama kana una mchango toa,haina haja kutokosha matusi
Kweli Mdau.
 
Back
Top Bottom