Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 330
- 1,060
M
Nawakaribisha niko dillemaNgoja waje wenzio, wazazi tumesema sasa ni kama tunakaribia kuchoka
Nawakaribisha wote mzee wa muongozo
Ongea kitu..Ngoja waje wenzio, wazazi tumesema sasa ni kama tunakaribia kuchoka
Hata hivyo kama wao mahari wameiweka mbele kuliko UTU.Vaa viatu vyake au wazaz wake utapata jibu.
NamkalibishaOngea kitu..
Pole yake sana, hayanaga muongozo...
Hunaga mambo mengi..Pole yake sana, hayanaga muongozo...
Mwache akawe singo maza naona anatengeneza mazngra hayoHizo tabia zake ni common. Amekuchoka au vinginevyo.
Komaa nae. Sasa unataka kumuachia nani?
Hunaga mambo mengi..
Yaani ushamaliza hapo ,
Asante kwa muongozoPole yake sana, hayanaga muongozo...
Mgomba gani mkuuWeka mgomba ndani mkuu utanishukuru