USHAURI: Simuelewi mume wangu

pole sana mzee yusufu kuna nyimbo yake moja anaimba kama hataki nipe mie kasusa nipe mie
mzabzab na carlos the jackal uziwenu pendwa huu umekuja kazi kwenu
Wimbo huo sio soda ya kopo?
Sasa mke baadala ya kutafuta mcheps awe anapata utamu anakuja hapa jf
 
Yani acha tu ndugu yangu tembea uyaone yani kwajinsi ninavyojiweka ingekuwa ni mwanaume mwingne kwajinsi ninavyowajua ingekuwa kila dk anataka mzigo hata kazini nahisi angekuwa anachelewa
Aisee kama nakuona vile umevaaa zile chupi zenye kamba inapita pale katikati ya mabonde mawili
 
Mmmh wewe ni mtata kwa kauli hizi utachapiwa tu.
Huenda amekukinai
We unasema tu tatizo nishajikatia tamaa inakera sana usiombe yakukute Bora basi hata awe na matatizo ya kiafya nitavumilia ila unakuta anachepuka uko inaumiza sana kutokujali hisia za mke wako hata Kama anachepuka alitakiwa anifikirie na Mimi hata kwa wiki Mara moja tu
 
Aisee kweli kwenye miti hamna wajenzi. Mke anataka kuoelekewa moto mume anakataa mbususu😲😲😲
Hakuna mwanaume wa hivyo ....huyo mwanamke ajiangalie tu mienendo yake dhidi ya Mumewe.... Mi niliondoka kabisaaaa na kumuachia Mji mke.... Nkaenda kupanga. Hakuna kitu kinashusha hamu kama dharau, maneno machafu ,dhihaka na wakati mtu unamsaidia Kila kitu na anaanza kukulinganisha na wanaume wengine. Anaweza jua hafanyi lakini aangalie mienendo yake yeye kwanza. Ana Ndimi nzuri Kwa Mumewe!?? Matendo.... !!??.Hakuna mwanaume atakuwa na nyuchi ndani na asiichakate ila ukimletea hizo mambo hata mwaka mtamaliza. Nimerudi lakini silali nae tena Kwa ajili ya watoto lakini amepata Somo kabaridika sana.
 
Hebu njoo nikushauri vizuri hutajuta
 
Ndio mana unahasira sana mchana
 
shida ipo hapo kwenye kubeti.

mwamba anakuwa anawaza mkeka utatiki ama hapana na kama ukichanika ndo kabisaaa

upande wangu, kuna siku nimebet nasubiri timu 1 ushinde nile 700k hahahaha ikazingua, nilikuwa na demu mpya aseeh mtarimbo ulilala dorooooo na sikumchapa nao

kubeti ndo mchawi wako
 
Duh! Sasa unanishauri nifanyaje?
Labda kuna namna uliwahi kum-disrespect na ikapelekea kupunguza feelings.. au pengine kuna ugonjwa umemfanya asiwe na hamu.

Ushauri wangu ni utafute muda mzuri uongee naye ili ujue chanzo na hatimaye mtafute namna ya kutatua tatizo. All the best.
 
Fanya mpango ukate kiu mamy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…