Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
- Thread starter
- #81
Mkuu samahani lakini. Je kuna hatua yoyote ambayo mmechukua had wajati huu? Umeweza vipi ku handle pressure na kejeli toka kwa wanajamii?Huna haja yakukata tamaa Mimi na mke wangu mwaka wa tatu bado hatujabarikiwa mtoto, hutukati tamaa, tunaamini IPO siku tutabarikiwa