Ushauri: Ps3 Vs Ps4

Ushauri: Ps3 Vs Ps4

Ndugu wanajukwaa, nimefuta mafaili niliyokuwa nimehifadhi ndani ya simu ya Samsung J1 ACE kwa bahati mbaya, inaniuma sana! Naomba mtu mwenye maujanja ya ku-RECOVER files hizi anisidie tafadhali.
 
kama kitu gani unakipata kwenye ps3 kwenye 360 ulikikosa?
Nadhani mwanzo nilikua more attracted na Ui ya sony hasa baada ya kuhamia kwenye PSP na baada ya kucheza PS3 kidogo nijajikuta naloose interest with xbox kabisaa.
 
mkuu nimeingilia but
kweye ps3 utaenjoy ps exclusives nyingi kama God Of war,Last us us,Ucharted n nyingine nying.
Yea only For sony consoles izo but with me haikua sababu kubwa io. Mwanzo nilivutiwa na UI (user interface) lakini badae nukawa tu its more of a choice basing on not much to buck it up (mazoea)
 
mkuu nimeingilia but
kweye ps3 utaenjoy ps exclusives nyingi kama God Of war,Last us us,Ucharted n nyingine nying.
hata xbox lina exclusive zake kama forza, Halo, gears of wars, mass effect, fable etc na game kama halo limeongoza kwa mauzo almost kila mwaka likitoka.
 
hata wazungu nadhani bado hawajajua ila kuna wa brazili ndo wananjia yao inaitwa ps4 dump flash technique

pia unawezakudownload free full games ktk ps3/4 kwa kubonyeza combo buttons ktk magemu yote yenye demo
hivyo utalitoa game kwenye demo kwenda full version free zero cost
hii kitu its not guarantee ukidownload haiingii full version na ni rahisi sana kubaniwa ip yako ka wacheza online
 
Sitaki kutangaza biashara ila naomba nitumie Fursa kama ilivo ada.
Mleta uzi mimi nina ps4 mbili. Moja slim na moja ya kawaida
Iwapo ukiamua kununua ps4 njoo kwangu bei nzuri tu.
Vipi mkuu una cd za ps4 na pad tufanye biashara?
 
Naomba kufahamu bei ya ps3 na ps4
Natanguliza shukrani
 
Naomba kufahamu bei ya ps3 na ps4
Natanguliza shukrani

Nipe laki 4 nikupe ps3 zaidi ya game 10 ndani, nimeamua kuiuza kwa sababu dogo hafanyi vizuri shule hivyo nilikurupuka kumnunulia kwa muda huu

The last of us
Gta v
Fifa 19
Pes
Blur
God of war
Need for speed - the run
Infamous
Call of duty - advanced warfare
Mortal kombat

Hizi ninazikumbuka, nakupa 2 pads, hdmi & charging cable
 
Sitaki kutangaza biashara ila naomba nitumie Fursa kama ilivo ada.
Mleta uzi mimi nina ps4 mbili. Moja slim na moja ya kawaida
Iwapo ukiamua kununua ps4 njoo kwangu bei nzuri tu.
Samahani kaka ps4 bado unayo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom