OFFLINENice unacheza online?
zinasumbua ku JTAGXbox 360
yeah ni kweli unavyo sema bcoz ps4 ni mpya ni ya kisasa zaidi ina features za kisasa zaidi ukitofautisha na matoleo mengine ya playstation. so utaalam flan ivi unagitajika kama we ni mgeni ktk ps4.Usichukue PS 4 kama huna utaalamu mzuri kwenye kucheza magame itakusumbua,PS 3bado nzuri ila katafute mtu mwenye PS 4 uizoee kidogo kabla ya kununua
Asante sana Chiefongezea na ps4 pro ambalo ni zuri zaidi,
Uko deep sanaAh Ni vizuri ukatafuta jailbroken ps3(CFW PS3) ambayo itakua na uwezo wa kuweka Pirates Games ukiwa ni hii utaweza kudownload games zote bure kwa hiyo hii ni nzuri sana.
Pia Ni vizuri kuchukua Ps4 sababu ina almost games zote mpya pia games zake zina Graphics nzur. but upatikanaji wa magemu yake ndo kuna tatizo game moja linafika hadi laki na nusu so ujipange sana
So kwa ushauri wangu Tafuta Jailbreken Ps3.
Nipe bei ya slim na hiyo fat
Ps4 fat and slim
Ps3 on jailbreaking process ndo inamalizika.
Assus core i7 not strong but can get the job done most times
Hua nikiwa free naenjoy games kwenye ps4
Hizo ndo console nilizonazo. Nainjoy ps4 of the most you should try it.
Sijawahi kucheza Xbox, halafu zile pad zake naona kama mzigoXbox 360
Ushauri wako mzuri.Ps3 ina gemu nyingi na rahisi kupatikana na bei nafuu
Mimi sina uzoefu hata wa ps3 kwahyo nisinunue Ps4?Usichukue PS 4 kama huna utaalamu mzuri kwenye kucheza magame itakusumbua,PS 3bado nzuri ila katafute mtu mwenye PS 4 uizoee kidogo kabla ya kununua
Mkii hivi vitu haviitaji kusomea wala nini. Nunua kaa nayo 3days ushaizoea kila kitu. Ni kama simu tuuUsichukue PS 4 kama huna utaalamu mzuri kwenye kucheza magame itakusumbua,PS 3bado nzuri ila katafute mtu mwenye PS 4 uizoee kidogo kabla ya kununua
Slim 750k jipya with box and all acesoriesNipe bei ya slim na hiyo fat
Ukijaribu hutoacha kamweSijawahi kucheza Xbox, halafu zile pad zake naona kama mzigo
yeah ndo ivo inabidi utafute jbn ps3Mimi sina uzoefu hata wa ps3 kwahyo nisinunue Ps4?
Huoni baada ya muda nitahitajika kutafuta Ps4?
hata wazungu nadhani bado hawajajua ila kuna wa brazili ndo wananjia yao inaitwa ps4 dump flash techniqueVipi wakuu..hivi kibongobongo wadau wameshaweza ku-jailbreak ps4!?..
Personal nilianza kwenye xbox, nikaja xbox 360 ila nilivojaribu PSP mbio kununua ps3 tangu hapo xbox naona wanajaribu tuu hawafiki ninakotakaUkijaribu hutoacha kamwe