USHAURI: Prof. Mbarawa, chukua marubani watano tu ATCL

USHAURI: Prof. Mbarawa, chukua marubani watano tu ATCL

kwani hawawezi badilishana? au wanakuwa kama maksai, anayekaa kushoto ukimuweka kulia anapotea njia?
Mkuu kukaa kushoto mwa "Cockpit" sio sawa na kukaa kushoto kwa Vitz au Subaru!!Mtu lazima asote kwenye kukaa First Officer kwa muda ili kuja kuwa Pilot in Command!!Hii "Pair" ina maana...Haimaanishi kwamba anakaa muda wote kulia,kwa kadiri ya masaa na uzoefu baadae anahamia kushoto na kuwa Pilot in Command
 
Umewahi kupanda lile dege la jeshi hata kwa kupewa lift?Umewahi ona "nidhamu" ya uendeshaji wa "Military Aircrafts" na "Civil Aircrafts".

Umewahi ona "short take off" ya zile ndege za Jeshi na "Short landing" zake!?Mazoea hujenga Tabia.Ukiwapa hawa Military Pilots hata uwape training ya "Customer care" kwa kiasi gani,lazima abiria wakimbia ndege za hiyo kampuni.

Hawa akili zao sio kupakia abiria,bali "wanajeshi"...ndio maana lile dege lao ndani halina viti ila mabenchi tu,nyanyuka yao hewani ni kama wamebeba nyanya na vitunguu,tuwa yao ni kama ndani ya ndege wana kuku vibudu waliokufa wakati wana abiria.

Customer Care kwenye usafiri wa anga ni pamoja na raha na utamu wakati wa kutuwa na kupaa!wanaita "Smooth Landing" au "Kissing of the fore landing gear",sio unatuwa kwa kubamiza kama umebeba magari ya rais.Unafika chini nusu ya abiria wametapika na robo wana mshituko wa moyo,niliwahi safiri na shirika fulani la ndege hapa bongo,wakati wa kutuwa jinsi ndege ilivyojibamiza Mama mmoja akajuwa tayari kimenuka,kwa mshituko ule pale pale tulimfunika shuka la kwenda mochwari,lkn yote haya ni utuwaji wa rubani.

Hawa Wanajeshi acha wasafirishe tu kile kiti cha Rais kwenye ziara za mikoani na magari yake,huku kwenye Biashara yetu ya ATCL TUWAACHIE MARUBANI RAIA!!Yaani mwanajeshi unafikiri anaweza sema "Dear customer...we are in final Approach"....."Dear" kwa rubani ni neno lililo mbali ktk misamiati yake
Ha ha ha ha ha ha ha aaaaaaa! you help me start my day laughing, really u spell the truth
 
Umewahi kupanda lile dege la jeshi hata kwa kupewa lift?Umewahi ona "nidhamu" ya uendeshaji wa "Military Aircrafts" na "Civil Aircrafts".

Umewahi ona "short take off" ya zile ndege za Jeshi na "Short landing" zake!?Mazoea hujenga Tabia.Ukiwapa hawa Military Pilots hata uwape training ya "Customer care" kwa kiasi gani,lazima abiria wakimbia ndege za hiyo kampuni.

Hawa akili zao sio kupakia abiria,bali "wanajeshi"...ndio maana lile dege lao ndani halina viti ila mabenchi tu,nyanyuka yao hewani ni kama wamebeba nyanya na vitunguu,tuwa yao ni kama ndani ya ndege wana kuku vibudu waliokufa wakati wana abiria.

Customer Care kwenye usafiri wa anga ni pamoja na raha na utamu wakati wa kutuwa na kupaa!wanaita "Smooth Landing" au "Kissing of the fore landing gear",sio unatuwa kwa kubamiza kama umebeba magari ya rais.Unafika chini nusu ya abiria wametapika na robo wana mshituko wa moyo,niliwahi safiri na shirika fulani la ndege hapa bongo,wakati wa kutuwa jinsi ndege ilivyojibamiza Mama mmoja akajuwa tayari kimenuka,kwa mshituko ule pale pale tulimfunika shuka la kwenda mochwari,lkn yote haya ni utuwaji wa rubani.

Hawa Wanajeshi acha wasafirishe tu kile kiti cha Rais kwenye ziara za mikoani na magari yake,huku kwenye Biashara yetu ya ATCL TUWAACHIE MARUBANI RAIA!!Yaani mwanajeshi unafikiri anaweza sema "Dear customer...we are in final Approach"....."Dear" kwa rubani ni neno lililo mbali ktk misamiati yake

Mkuu, kuwachukua jeshini si tatizo. Wanakuwa retrained kuendesha ndege za abiria.

Karibu ma pilot wote wa ndege za Israel wameanzia jeshini. Ofcourse wana sababu zao za msingi lakini inaonyesha ma pilot wa jeshi huwa wazuri pia kwenye ndege za kawaida za abiria.
 
Nafikiri wewe ndio unachanganya madesa mkuu....ndege za kisasa kivipi?Zile tunazopitishiwa kwenye maonyesho ya Muungano au Uhuru?achana na story za kwenye kahawa...US mpaka ajuwe ndege mlizonazo ni udhaifu,hakuna kitu kama hicho.Ukiangalia zile zinazokatiza mitaani au juu kwenye mafunzo kwenda Ngerengere ni
K8-zina rangi kama kambale hivi,hizi huwa zinapita juu mpaka huku kwetu Shinyanga zikifanya mazoezi
F7-Vina rangi ya njano hivi,dakika sita Dsm to Ngerengere
Y8-200-Hili lile kubwa injini 4 za turboprop,hubeba magari ya msafara wa Rais kwenda mikoani na kile kiti "kisichobadilika"
Mengine tusiongee sana humu mitandaoni,lkn nafikiri najadliana na mtu asiyefahamu sana.
Wewe usije ukaenda mbali ukachanganya ndege za TGFA ambayo moja wapo ni ile GulfstreamV(GV) tuliyonunua kwa ghalama mpaka wengine wakala nyasi na dunia ikatushangaa!!Kuna tofauti kati ya TGFA na ATCL....ndege ya anasa ni hiyo aliyonunua Mkapa
Chambua mkuu, unajua kuna members wengine hapa hawana utamaduni wa kukubali kwamba kuna maeneo hawana upeo wa kutosha wa kuchangia so badala ya kujisomea ili wafaidike kuongeza upeo wao wapo wapo tu kujitekenya. He who knows not and knows not that he knows not is a fool.
 
Nafikiri wewe ndio unachanganya madesa mkuu....ndege za kisasa kivipi?Zile tunazopitishiwa kwenye maonyesho ya Muungano au Uhuru?achana na story za kwenye kahawa...US mpaka ajuwe ndege mlizonazo ni udhaifu,hakuna kitu kama hicho.Ukiangalia zile zinazokatiza mitaani au juu kwenye mafunzo kwenda Ngerengere ni
K8-zina rangi kama kambale hivi,hizi huwa zinapita juu mpaka huku kwetu Shinyanga zikifanya mazoezi
F7-Vina rangi ya njano hivi,dakika sita Dsm to Ngerengere
Y8-200-Hili lile kubwa injini 4 za turboprop,hubeba magari ya msafara wa Rais kwenda mikoani na kile kiti "kisichobadilika"
Mengine tusiongee sana humu mitandaoni,lkn nafikiri najadliana na mtu asiyefahamu sana.
Wewe usije ukaenda mbali ukachanganya ndege za TGFA ambayo moja wapo ni ile GulfstreamV(GV) tuliyonunua kwa ghalama mpaka wengine wakala nyasi na dunia ikatushangaa!!Kuna tofauti kati ya TGFA na ATCL....ndege ya anasa ni hiyo aliyonunua Mkapa
Nkohi hivi bado ng`ana inapatikana Mwadui? Nataka kuwa mbeshi hali ngumu mtaani
 
Mkuu kukaa kushoto mwa "Cockpit" sio sawa na kukaa kushoto kwa Vitz au Subaru!!Mtu lazima asote kwenye kukaa First Officer kwa muda ili kuja kuwa Pilot in Command!!Hii "Pair" ina maana...Haimaanishi kwamba anakaa muda wote kulia,kwa kadiri ya masaa na uzoefu baadae anahamia kushoto na kuwa Pilot in Command
huo ndio uzoefu wa ATCL ndio maana shirika tunataka libadilike, wale madereva wa malori wazee hawataki taniboi aguse hata honi, zipo ndege marubani wote wana hadhi sawa, na ndio tunataka kifanyike, pia katika hali hii ya ugaidi uwepo wa Air Marshall ni muhimu sana anaweza akafanyakazi kama pilot na mhudumu likitokea sekeseke anaingia kazini pia.
 
Mkuu, kuwachukua jeshini si tatizo. Wanakuwa retrained kuendesha ndege za abiria.

Karibu ma pilot wote wa ndege za Israel wameanzia jeshini. Ofcourse wana sababu zao za msingi lakini inaonyesha ma pilot wa jeshi huwa wazuri pia kwenye ndege za kawaida za abiria.
Mkuu Israel kila mtu ni "Mwanajeshi"...Yaani ni kama kusema kila wasomi wa miaka ya Sabini hadi tisini mwanzoni wana ABC za Jeshi kwa kuhudhuria JKT.Hivyo baada ya kutoka JKT vijana wote walipelekwa kwenye taaluma mbalimbali hapa Tanzania.

Israel utaratibu huu ni kama ada,upo mpaka sasa...Tena wao ni zaidi ya JKT,hivyo kumchukuwa mwanajeshi ambaye bado hajawa trained kuendesha zile Jetfighter na ukam-train kuendesha Civil Flights si tatizo baya mkuu,tena hawa ni watiifu na wachapakazi.

Lkn kumuhamisha Rubani wa jeshi,ambaye uendeshaji wake hautambuliwi hata na ICAO sababu ICAO haitaki kuwa na rubani mwenye mawazo ya kuamini ndege ni kifaa cha kuulia au kuondoa uhai wa mtu.Rubani wa jeshi anafundishwa kujuwa kuwa ndege anayoendesha ni silaha ya kuuwa na kuangamiza abiria.Ana uwezo wa kufanya zile "animation" za tumbo la ndege kuwa juu na sehemu ya juu kuwa chini ili kukwepa mabomu!!Huyu rubani hana sifa kwa mijubu wa ICAO...Maana kwake ndege ni kifaa cha kuuwa!!

Ukipanda ndege ya jeshi ndio utajuwa nachoongea,Mwanajeshi aliyeenda chuo cha jeshi kujifunza kuendesha ndege na mwanajeshi aliyeenda chuo cha kiraia kujifunza kuendesha ndege kuna tofauti kubwa sana....Kama watakuja wanajeshi "fresh" ni sawa,ila kama mtatuletea walioanza kurusha "Military flights" kwanza....Basi tutegemee mengi
 
huo ndio uzoefu wa ATCL ndio maana shirika tunataka libadilike, wale madereva wa malori wazee hawataki taniboi aguse hata honi, zipo ndege marubani wote wana hadhi sawa, na ndio tunataka kifanyike, pia katika hali hii ya ugaidi uwepo wa Air Marshall ni muhimu sana anaweza akafanyakazi kama pilot na mhudumu likitokea sekeseke anaingia kazini pia.
Hii si kwa mujibu wa ATCL mkuu eddy bali ni kwa mujibu wa ICAO (INTERNATIONAL CIVIL AVIATION ORGANIZATION)
Huku kama unatimiza masaa na kupata Time Rating za maana,hakuna wa kukubania.Kwenye swala la hili ATCL haifanyi kwa kujitakia,bali kwa matakwa ya "Principles and recomended standards" za ICAO
 
Ziko tayari zinasubiri marubani wakasome ndio zije,
2014/15 kama sikosei mwaka, walichukuliwa vijana 5 walipelekwa South Africa kujifunza kazi ya urubani. Walisharudi wanarusha ndege, sina uhakika ndege za nani. Lakini walipelekwa kusoma kwa gharama ya Serikali ya URT.
 
Nkohi hivi bado ng`ana inapatikana Mwadui? Nataka kuwa mbeshi hali ngumu mtaani
Mkuu platozoom mimi nimeiba sana almasi Mwadui..Nimekuwa mbeshi toka nikiwa kijana mdogo sana!Nilikoswa koswa risasi na hata kuumwa na wale mbwa wa polisi Mwadui.Sidhani kama natamani kurudia tena hii kazi mkuu....Maganzo pale nilifahamika sana kwa matajili wa ng'hana na Wabeshi wa Utemini,Muhunze,Mwigumbi,Songwa,Mipa na Ibadakuli
 
Jamani mboa sa mnachanganya? Watu wanaongelea marubani wa ndege...wewe unaongelea waendesha majahazi wa mchamba wima...
wewe una akili kweli?mimi nimecoment kwenye uzi huu unaongelewa marubani wa ndege.Nasema hivi Zanzibar kuna marubani zaidi ya 100,Nenda pale airport utawaona ata kazi wengine hawana wanapiga dayworker ok?
 
kwani hawawezi badilishana? au wanakuwa kama maksai, anayekaa kushoto ukimuweka kulia anapotea njia?
Hili wabadilishane lazima kuwa na uhalisia wakufanya hivyo bila kuwa na ulazima captain anakuwa na majukumu yote mwanzo mwisho.Warubani wamegawanyika hivi kutokana na uzoefu na kimajukumu, Captain ndio pilot in command anakaa kushoto kwenye chumba cha kuongezea ndege huyu anauzoefu na masaa mengi yakurusha ndege hasa kwenye commercial plane mara nyingi awapati muda wakukaa na familia zao mara kwa mara tofauti na first officer ambao mara nyingi kwenye international flight uunganika na captain, kulia anakaa first officer huyu ni second in command ndege nyingine zinakuwa na second officer huyu Mara nyingi ni flight engineers wote watatu wamefunza vizuri kwenye ngazi ya urubani lakini wanatofautiana kicheo na kimamuzi.
 
wewe una akili kweli?mimi nimecoment kwenye uzi huu unaongelewa marubani wa ndege.Nasema hivi Zanzibar kuna marubani zaidi ya 100,Nenda pale airport utawaona ata kazi wengine hawana wanapiga dayworker ok?
Usiongelee wanafunzi wa urubani. Tunataka marubani competent..
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Prof. Mbarawa najua JPM hakukosea kukupa hiyo nafasi, nashauri hao marubani watano watakaoenda masomoni wanatosha, badala yake chukua marubani kutoka jeshini kwanza hii itasaidia hawa wanajeshi kuwa na uzoefu kwani muda mwingi watautumia kurusha ndege ukilinganisha na jeshini ambao muda mwingi wanarelax.

Pili, katika hali hii ya ugaidi tunahitaji air Marshall ambao hao marubani watafanyakazi kama marubani na walinzi wa ndani ya ndege, tuliwahi shuhudia nshomile mmoja aling'ang'ania kukaa mlangoni ndege ilibidi irudi chini kuita polisi, wangekuwemo wajeda ndani ya ndege angebananishwa hukohuko juu.

Tatu, wanajeshi ni jasiri wakati wa uokoaji ikitokea dharura na wana nidhamu ya hali ya juu, tofauti na hivyo vibabu vinavyopigiwa upatu humu, naimani tukifanya hivi tutakuwa na shirika bora kabisa.
Wazo jema.
 
Usiongelee wanafunzi wa urubani. Tunataka marubani competent..
Wanafunzi Aje wapo zanzibar usiogope wewe .Wapo marubani wana masaa ya kutosha Angani kurusha hizo za ATCL na wazoefu.Wanakaa mpaka wanabadili Uraia na kurusha madege ya Kiarabu huko.
 
Nafikiri wewe ndio unachanganya madesa mkuu....ndege za kisasa kivipi?Zile tunazopitishiwa kwenye maonyesho ya Muungano au Uhuru?achana na story za kwenye kahawa...US mpaka ajuwe ndege mlizonazo ni
udhaifu,hakuna kitu kama hicho.Ukiangalia zile zinazokatiza mitaani au juu kwenye mafunzo kwenda Ngerengere ni
K8-zina rangi kama kambale
hivi,hizi huwa zinapita juu mpaka huku kwetu Shinyanga zikifanya mazoezi
F7-Vina rangi ya njano hivi,dakika sita Dsm to
Ngerengere

Y8-200-Hili lile kubwa injini 4 za turboprop,hubeba magari ya msafara wa Rais kwenda mikoani na kile kiti
"kisichobadilika"

Mengine tusiongee sana humu mitandaoni,lkn nafikiri najadliana na mtu asiyefahamu sana.
Wewe usije ukaenda mbali
ukachanganya ndege za TGFA ambayo moja wapo ni ile GulfstreamV(GV) tuliyonunua kwa ghalama mpaka wengine wakala nyasi na dunia ikatushangaa!!Kuna tofauti kati
ya TGFA na ATCL....ndege ya anasa ni hiyo aliyonunua Mkapa

Wewe endelea na mjadala unaogopa nn mkuu?
 
Mkuu eddy unajuwa unachokiongea?JK alinunua ndege gani za ATCL?.... Ndege ipi ya kisasa aliyonunuwa JK kwa ajili ya ATCL...Kwenye ndege JK hakugugusa wala kutia mkono,kama alivyolikuta shirika aliondoka akaliacha kama lilivyo.
Mkuu

Hizi ndege mpya zinatarajia kuingia na kufanyakazi Q400 zina speciality zipi, zinasemwa ni kubwa, je ukubwa wake ni wa engine, ubebaji mizigo, abiria wangapi, speend, etc.

Je ni design ya hizi za Fastjet au PW? Maana tulizoea sijui "Boeing ", why bombadier ?

Maana naona mjadala unaangalia zaidi marubani kuliko aina ya ndege na ubora wake, je zitakidhi hitaji?

Please mimi si mtaalam wa mambo ya anga ila mpanda ndege tu.
 
Back
Top Bottom