Prof. Mbarawa najua JPM hakukosea kukupa hiyo nafasi, nashauri hao marubani watano watakaoenda masomoni wanatosha, badala yake chukua marubani kutoka jeshini kwanza hii itasaidia hawa wanajeshi kuwa na uzoefu kwani muda mwingi watautumia kurusha ndege ukilinganisha na jeshini ambao muda mwingi wanarelax.
Pili, katika hali hii ya ugaidi tunahitaji air Marshall ambao hao marubani watafanyakazi kama marubani na walinzi wa ndani ya ndege, tuliwahi shuhudia nshomile mmoja aling'ang'ania kukaa mlangoni ndege ilibidi irudi chini kuita polisi, wangekuwemo wajeda ndani ya ndege angebananishwa hukohuko juu.
Tatu, wanajeshi ni jasiri wakati wa uokoaji ikitokea dharura na wana nidhamu ya hali ya juu, tofauti na hivyo vibabu vinavyopigiwa upatu humu, naimani tukifanya hivi tutakuwa na shirika bora kabisa.
Pili, katika hali hii ya ugaidi tunahitaji air Marshall ambao hao marubani watafanyakazi kama marubani na walinzi wa ndani ya ndege, tuliwahi shuhudia nshomile mmoja aling'ang'ania kukaa mlangoni ndege ilibidi irudi chini kuita polisi, wangekuwemo wajeda ndani ya ndege angebananishwa hukohuko juu.
Tatu, wanajeshi ni jasiri wakati wa uokoaji ikitokea dharura na wana nidhamu ya hali ya juu, tofauti na hivyo vibabu vinavyopigiwa upatu humu, naimani tukifanya hivi tutakuwa na shirika bora kabisa.