Ushauri. President Magufuli badilisha fedha haraka

sambu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
283
282
Sijui wenzangu mnaonaje. Kama watu wamefungia mamilioni majumbani na kusababisha pesa isiwe kwenye mzunguko kwa kuogopa majipu yanayotumbuliwa, bora pesa ibadilishwe at short notice ili zilazimike kwenda kwenye ma bank na kisha kwenye mzunguko. Mimi si mchumi ila naona itasaidia uchumi maana kuna tetesi watu wamefungia mabilioni nyumbani hawataki yaende bank kwa uoga. Kama ni kweli lazima mapesa haya yatakwamisha juhudi za president wetu na uchumi utaathirika. Unaunga mkono hoja? Tujadili kwa uzalendo kwani kutumbua majipu sugu ni kazi ngumu.
 
Sijui wenzangu mnaonaje. Kama watu wamefungia mamilioni majumbani na kusababisha pesa isiwe kwenye mzunguko kwa kuogopa majipu yanayotumbuliwa, bora pesa ibadilishwe at short notice ili zilazimike kwenda kwenye ma bank na kisha kwenye mzunguko. Mimi si mchumi ila naona itasaidia uchumi maana kuna tetesi watu wamefungia mabilioni nyumbani hawataki yaende bank kwa uoga. Kama ni kweli lazima mapesa haya yatakwamisha juhudi za president wetu na uchumi utaathirika. Unaunga mkono hoja? Tujadili kwa uzalendo kwani kutumbua majipu sugu ni kazi ngumu.
ni kweli kiuchumi, hata hivyo na huyu gavana ndulu atumbuliwe tu kwani walopewa tenda za kutengeneza fedha wanafanana na wale waliotengeneza barabara za kinondoni ambazo makonda anazipigia kelele.
 
Unaonekana umezaliwa juzi juzi. Pesa ya rushwa na posho imeondolewa...na kuna ripple effect kubwa sana. Watu wamekuwa na nidhamu ya matumizi ya pesa. Kila mtu anaathirika mpaka equilibrium ipatikane. Hali kama hii ilotokea miaka 20 iliopita.
Hata kama ni kweli watu wameficha pesa chini ya magodoro, zikibadilishwa zitarudishwaje kwenye mzunguko?
 
tehetehetehe mnataka mum paralizishe mzee wetu! el! kuna mabilioni mengi yalikwapuliwa kwwnye mabenki bado yapo mikononi mwa watu hawajayapeleka kwenye benki akaunti zao.
 
Kwa kawaida january huwa ngumu kifedha.... Sikukuu na sherehe nyingi badae watoto wanakwenda shule!!
 
Back
Top Bottom