Wadau, kheri ya Mwaka Mpya!
Kuna dada mmoja wa Kimasai amekuwa akiniganda na kuonyesha ananipenda sana ingawa sijawahi kuwa karibu naye kwa kukaa pamoja na kusomana tabia. Sasa anataka tuoane, wadau naombeni ushauri wenu hivi hawa watu kitabia wakoje? Na je, vipi taratibu za ndoa kwao zikoje? Naombeni ushauri wenu plz!
Kuna dada mmoja wa Kimasai amekuwa akiniganda na kuonyesha ananipenda sana ingawa sijawahi kuwa karibu naye kwa kukaa pamoja na kusomana tabia. Sasa anataka tuoane, wadau naombeni ushauri wenu hivi hawa watu kitabia wakoje? Na je, vipi taratibu za ndoa kwao zikoje? Naombeni ushauri wenu plz!