ushauri pliz: Nafikiria divorce



majibu yepi?

mdau yeyote akija hapa na comment ya kunitukana na yeye atapata matusi tu.

ushauri na ideas nishapata, sasa naendelea kuwajibu wajinga wanaodhani wanajua matusi

i have nothing to loose hapa
 

tena nimekumbuka kitu

wewe si ndo ulikuja hapa juzi kati eti unataka kumuacha wife sijui ni mkorofi sijui anajibu short ama si wewe Kafman?

leo tena unajifanya eti ndoa ndo unaijua sanaaaaaa

aisee sisi binadamu wa ajabu sana
 

mh. ni wewe ama mwingine

leo umejua kuwaza watoto
 
ndo maana sijielewi nitaishi hivi kwa muda gani? am jus 30, i need to make my life wakati bado mapema
Ndoa bwana, ukishawaza nje tu, feelings za ndani ya ndoa zinapotea.
4 years plus 2 kids with the same husband,all of the sudden, umeanza kuijutia ndoa?
Jaribu kuondoa feelings za nje ya ndoa, na u-concentrate on what you have, mambo yatarudi kama zamani.
 

this was good to hear from you.

unaendeleaje na mkeo
 

sikuchangisha mtu hata mmoja
 

ha ha ha ha ha bado hujaona wewe ya dunia

huyu mke wa mtu anayetembea na mume wangu mchana kweupe ni mjumbe wa kamati ya jumuiya parokia ya .....

anasali sana na ni mtu wa maombi yani kwa walokole hakosi.

na huyu mke wa jamaa huyu wa 42 nilivyomuona tu ni mzuri sana kwakweli amefungashia haswa ila anaonekana malaya tu.

Hivi unadhani hao wanawake wanaokesha wakiomba mbona wanakesha na wachungaji ambao ni waume za watu.

watu wanaimba kwaya daily kanisani na wanachapagana gesti kama kawa.

HATA HIVYO MIMI SIJASEMA NATAKA KUVUNJA NDOA YA MTU, ILA KUTEMBEA NA MWANAUME ALIYE KWENYE NDOA MI SIONI ISHU.

HABARI NDO HIYO
 
haya nimekusikia, basi wenyewe ambao hamjaolewa mnafarijika maskini.

mnafurahi wenyewe kusikia majanga ya ndoa

ha ha ha ha ha

Mi napenda sana hit and run stress kama hizi zipo likizo kwangu, mi nakung'uta naacha
 


Hivi chizi nae anajuaga kusoma?

wala sijakusoma maana hata kusoma nijulie wapi chizi mie
 

ha ha ha hata mimi siwezi mshauri kidumu atoe talaka kwa mkewe kwahiyo hata yeye atanishauri nibaki kwa ndoa.

ha ha ha The Boss umenichekeshaje
 
Unajua mtoa mada tayari anajua cha kufanya kwani kila aliejaribu kumpa ushauri yeye hauafiki. Pengine wengi tumeshindwa kuielewa mada hasa mimi binafsi.

wewe hebu acha uongo hapa. Kwa taarifa yako nimepata ushauri mzuri sana na nashukuru sana kwa watu walionipa mwanga ambao nilikua sijauona mwanzoni.

Hawa watoto wanaokazana kutukana ndo wanapata majibu ya matusi kama kawa.

nahitaji ushauri, for real na nimeupata ila pamoja na kuwa hizi changamoto za ndoa haina kwamba eti ndo i can take shit from any one.

tatizo ninalo but am not ready kuwa undermined na wapumbavu wnisiowajua hap JF.
 
Thats why I dont wana rush into this, I will wait for hubby even if I am 40, age is nothing but a number but if you loose your freedom to be happy its hard to regain.
Acha pupa mdada, mwombe mungu aifufue ndoa yako hata hao kina Ex na Z wanakupenda coz uko kwenye ndoa yako,ukiachika hutowaona wala kusikia hata harufu yao. Think twice before you close that door
 
Kumbe angecheat kisomi/ kitaalam usingejali. Maisha ya ndoa hayajengwi kwa misingi ya kuogopana , hiyo kutompa respect dada siku ukiamua utampa. Sasa unataka huyo wa 42 kisa yuko matured kwani uliolewa na wa 22 au. Anyway follow your intuitive.

Angecheat Kiuanaume ingekua powa, maana isingenichanganya sana ingeniumiza then ningepotezea fasta.

Na pia mimi nampenda mwanaume amabaye namuogopa na kumheshimu. Mwanaume zobe zobe mi haniwezi, i need a man mtawala na ambaye ni Big Boss.

haya maneno yenu ya siku hizi eti mwanaume ni kama mtoto kwangu hayaappply, TO ME A HUSBAND IS A BOSS. Kwahiyo ni lazima adhibitishe u-boss wake. Akiwa mtoto nitamburuza kama watoto wangu wengine.

ndivyo hivyo best, maybe mi mshamba ama nina mambo ya kizamani sana but habari ndo hiyo
 

acha kujifariji sababu hujapata mchumba hadi wa leo.

Ndoa ni nzuri sana best, acha kujifariji unaposikia majanga kama haya yangu.

pIA hao kina X na Z ndo nani? mi sina mpango na mwanaume yeyote.

hujanielewa
 

Yani we ndo hujaelewa kabisaaaaaaaaaa

mume wangu yupo home na anabembeleza sana ila mi ndo simfeel tena na huwa namshauri aende kwa huyu hawara akapige chap chap ila namshangaa haendagi nikimwambia aende maybe anakua ameshapa mida ya lunch then anakuja kunizuga tu usiku.

anyway, kuhusu alichonegewa huko sijui maana kama ni utamu mbona huyo hawara mumewe pia anatoka nje ndo maana yeye(hawara) kajituliza kwa mume wangu? Hamna lolote ambalo sina na wala siwezi poteza muda eti nijishushe thamani kisa mume lol.

kama kunogewa na mie mwenyewe nimenogewa na dushelele la kidumu basi.

yaani hujatoa ushauri wa maana zaidi ya yale yale mawazo ya kijinga kwamba ndoa ni mke kumfurahisha mume and not vise versa. ah niondokeee
 

nakubaliana na wewe vyote.

ila hapo kwamba mi nacheat sijakuelewa, mimi sicheat ila najipa raha kama binadamu yeyote tu na sometimes huwa namwambia live kwamba nachapwa nje ila huwa anajua namrusha tu kumbe yote ni serious.

kwahiyo kuacha kujirusha mara 1 ka mwezi na kidumu siachi ngo na tena hivi hatujaonana wiki 2 nimemmiss sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…