Nakumbuka nliwah kuwambia kuhusu tatizo langu, now nafkiria kuhusu maneno yenu, ijapokua nampenda na yeye
I wish I could remember your story but wapi!!!!!
Yule bwanake anavuta bhangi, sigara na pombe lakini hajwahi kwenda kinyume(kucheat)!
yeye naogopa kumwacha coz anampenda sana na wasiwasi wake ni kuwa anaweza kumuacha halafu asimpate mwingine, coz yeye anamchukulia kama alivyo!
alikuwa anaandika ki-fb fb sanaaaa!
haya sasa umekumbuka heeeee!
nimekumis mamito wangu! love you!
cc: catharine
aisee, and we are supposed to remember. Duh, kazi kweli kweli.
Nakumbuka nliwah kuwambia kuhusu tatizo langu, now nafkiria kuhusu maneno yenu, ijapokua nampenda na yeye
Akuuuuuu ..labda mambo ya Mpole sana ndio siwezi sahau. LOL
Akuuuuuu ..