mi naona aendelee na wa mtandaoni.....huwezi jua ni lini utamtembelea Obama.....huyo wa ofisini atakuzengua kudadadeki.....
Kaazi kwey kwey
Wifi hujambo? Usihau kumuaga bro ukienda huko kicheni pati lol
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Wa mtandaoni yupo Marekani?
sound like its you lol
Hahahaaa....me?
Never ever. Kwanza kiukweli hakuna anayejua nilipo.
Since wewe ni presidaa wa wabeba box
na box linabebwa Marekani...mostly..
you are guilty as charged...lol
Wifi mie mzima. Muambie kakako basi angoje kidogo kuna mchongo wa online nauvizia usipotiki nitarudi. Missing nyingi my wii in future
Nina mahusiano na mtu ambaye tumekutana kwenye mtandao na hatujawahi kuonana, mwanzo tulikuwa tunawasiliana vizuri sana kwa skype, cha ajabu imefika kipindi mawasiliano yamekata na visa vya hapa na pale. hapa ninapofanyia kazi kuna kijana amekuwa akinifuatilia na sasa ni miezi mitatu na ninamuona ana mwelekeo. nimeshindwa kuamua ni mwache huyu ambaye hatujawahi kuonana hata siku moja sababu yeye ni mtanzania na yupo marekani. ushauri wenu wanajamvi
mi naona aendelee na wa mtandaoni.....huwezi jua ni lini utamtembelea Obama.....huyo wa ofisini atakuzengua kudadadeki.....
Preta, we unaye wa mtandaoni? usimpoteza mdada, marekani ni gia tu huenda yupo Kigamboni hapo! Halafu kesha kiri longo longo zimeanza kabla hata hawajonana! Jiulize mtandaoni kuna wadada wangapi?