mamkindi
Member
- Mar 14, 2012
- 61
- 5
Nina mahusiano na mtu ambaye tumekutana kwenye mtandao na hatujawahi kuonana, mwanzo tulikuwa tunawasiliana vizuri sana kwa skype, cha ajabu imefika kipindi mawasiliano yamekata na visa vya hapa na pale. hapa ninapofanyia kazi kuna kijana amekuwa akinifuatilia na sasa ni miezi mitatu na ninamuona ana mwelekeo. nimeshindwa kuamua ni mwache huyu ambaye hatujawahi kuonana hata siku moja sababu yeye ni mtanzania na yupo marekani. ushauri wenu wanajamvi