Harry singo
JF-Expert Member
- Apr 24, 2016
- 355
- 446
Mimi tukiwa kazini na partner wangu tulimnote mrembo mmoja, ila Mimi ndio niliwahi kuomba no na kumtokea, ila dem alikua na ukabila hivyo nikampasia mwenzangu mana yeye na Huyo dem kabila moja, sasahivi dem amerudisha majeshi kwangu ananitaka, lakini HEKIMA inaniambia nikimla urafiki na mfanyakazi mwenzangu ndio baas, kwaiyo nakaa pembeni, u can do the same, ila unaeza mwambia aachane nae hadharani ili ukabe roof, ila either way hatapenda, yani its a man's rule you don't go about your friend's ex, chagua kimoja urafiki au dem
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app