Ushauri please!

Ushauri please!

Maisha ni kitu ambacho kiko fair sana.
Kila kitu unachofanya iwe kwa wazi au kwa siri, LAZIMA
utavuna matunda yake. LAZIMA - hata kama sio leo.

Maamuzi madogomadogo tunayofanya siku hadi siku, KWA HAPO UNAPOFANYA inaonekana kama hujabadili chochote.
Lakini tone moja jumlisha na la pili jumlisha na la tatu, nk, yanajaza bwawa.

Maamuzi chanya, yatakuzalia matunda chanya.
Maamuzi hasi, yatakuzalia matunda hasi.

LAZIMA!

You may succeed to hide from people; you can NEVER hide from life itself.
Na tunajua,
kipi sahihi, kipi si sahihi kufanya.
Ushauri mzuri nitafanyia kazi ,sema huyu mwanamke anamajaribu sana mhh.
 
Mmmh.
Yaani siku hizi si wanaume wala wanawake Hamna akili kabisa. Yaani hata wanaume ambao mliambiwa muishi na hivi viumbe kwa akili Hamna akili zaidi siku hizi.
Hapana dadaangu akili zipo za kutosha ,najaribu kupata ushauri nisije nikateleza!
 
Kwanza ujijue wewe ni nani na nini ni misimamo/misingi yako na mipaka yako.
Ukishajua na ukajijua, hata aje mzuri kama malaika utabaki salama.
Kama hujajiwekea misingi au unayo na huisimamii , ushauri mwingine utakua kazi bure.

UAMINIFU (kwako na kwa wengine) ni sifa kuu lakini adimu sana sana;
Choose you now to be among the few. Re-position yourself for greatness.

ikitokea mwanamke(siyo mke) wa rafiki yako anakupenda na anasema anatamani kufanya mapenzi na wewe utafanyaje,maana hapa nipo dilemma.kuna siku tumewahi kufikia mpaka kulana mate ndani ya gari .
 
Kwanza ujijue wewe ni nani na nini ni misimamo/misingi yako na mipaka yako.
Ukishajua na ukajijua, hata aje mzuri kama malaika utabaki salama.
Kama hujajiwekea misingi au unayo na huisimamii , ushauri mwingine utakua kazi bure.

UAMINIFU (kwako na kwa wengine) ni sifa kuu lakini adimu sana sana;
Choose you now to be among the few. Re-position yourself for greatness.
Ahsante mkuu!
 
Hatua uliyofikia we malizia tu, sababu hata ukiacha haitabadili kitu. Halafu utafute jina lingine la kuupa huo uhusiano wenu na mshkaji, kwa sababu kwako sio urafiki.
 
Duniani vitu vinavyoleta chuki, uhasama hata kuumizana ni wanawake na pesa...

Kaa mbali na mwanamke wa mwenzako hata kama anataka yeye, wewe inabidi uwe na msimamo wa kukataa na kuepuka...


cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom